SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Hakuna mafanikio ya maana ila lile Vibe alifanya watu tuipende timu ya taifa.Amsha amsha ndio mafanikio?Umeulizwa Stars ya Maximo ilikuwa na mafanikio gani?
Binafsi nilikuwa sikosi kuchungulia pale Karume