Mashabiki wa Taifa stars mnakumbuka nini mkitazama hii picha?

Amsha amsha ndio mafanikio?Umeulizwa Stars ya Maximo ilikuwa na mafanikio gani?
Hakuna mafanikio ya maana ila lile Vibe alifanya watu tuipende timu ya taifa.
Binafsi nilikuwa sikosi kuchungulia pale Karume
 
Kwenda afcon goli limetanuliwa babu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…