Mashabiki wa Tanzania mnataka simba iifunge timu gani hapa Africa?

La chuki mbaya Sana!
Hivi nyiesi mliingia Ligi ya Mabibgwa kwa mbeleko ya Pan Africa🤭
Simba imeingiaRound ya Pili Kama Miongoni mwa Timu Kumi Bora za Africa!
Nyie mkachezea kochapo mbele na nyuma!
Leo Simba inakwenda kucheza Hatua ya Makundi...bado.mnaisakam!!
La ama kweli Uto ni Uto tu!
 
Kusema timu yao mbovu mwaka huu hata msimu ulioisha hukuwahi kukiri kwamba simba wanatimu bora! bali mlikua mnapondea tu et mmeshinda kwa bahati! huku mkiaminishwa uto mnatimu bora sana yakuchukua ubingwa na kufika mbali kimataifa nakweli kimataifa mmefika mbali maana hatuwaoni kabisa mmetokomea mbaali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…