Nitajie mechi hata moja mliyowahi kuingiza mashabiki bure mkashindaYanga karibu misimu yote popote katika nchi hii ndio timu inayo ongoza kwa Mashabiki wake kuingia uwanjani na haijalishi mkoa gani.
Kwa takwimu za Tff, Yanga ndio timu inayo ongoza kwa mashabiki kujaa viwanjani.
Mfano tuliona uthubutubwa mashabiki kwenda Rwanda na South Africa kwa idadikubwa.
Inachofanya klabu kwa sasa ni kurudisha fadhila kwa Mashabiki wake.
Kwanini wasijae uwanjani kama mechi dezo, Simba tunajaza na mashabiki wanalipa, Yanga bila dezo uwanja haujai.Yanga karibu misimu yote popote katika nchi hii ndio timu inayo ongoza kwa Mashabiki wake kuingia uwanjani na haijalishi mkoa gani.
Kwa takwimu za Tff, Yanga ndio timu inayo ongoza kwa mashabiki kujaa viwanjani.
Mfano tuliona uthubutubwa mashabiki kwenda Rwanda na South Africa kwa idadikubwa.
Inachofanya klabu kwa sasa ni kurudisha fadhila kwa Mashabiki wake.
hii mechi ni tofauti na mechi za ligiNi aibu mashabiki mechi kubwa kuingia dezo,uongozi wa Yanga umekuwa ukiamini mashabiki wao bila kiingilio kuwa bure hawezi kuingia uwanjani, kwanini wanapenda bure? Mechi kubwa kama hii kama ni bure je kwenye mechi ndogo ndogo hawa mashabiki wataenda uwanjani?
Kitu ukitolea jasho na gharama huwa unaithamini, sasa kuna tofauti gani na ng'ombe kuingizwa kwenye zizi?
Yanga hawana standard vitu wanavyofanya, unajisikiaje timu unayopenda unaenda kuingia bure kama ng'ombe.
El Merikh Rwanda, Al Ahly taifa, goli la utosi la Captain Nadir Harob Canavaro.Nitajie mechi hata moja mliyowahi kuingiza mashabiki bure mkashinda
Achana na hao mbumbumbuEl Merikh Rwanda, Al Ahly taifa, goli la utosi la Captain Nadir Harob Canavaro.
Kuna mambo yanastaajabisha sana! Yaani kuingia bure waingie mashabiki wa Yanga! Ila mateso unapata wewe kijana wa Manhungu!!Ni aibu mashabiki mechi kubwa kuingia dezo,uongozi wa Yanga umekuwa ukiamini mashabiki wao bila kiingilio kuwa bure hawezi kuingia uwanjani, kwanini wanapenda bure? Mechi kubwa kama hii kama ni bure je kwenye mechi ndogo ndogo hawa mashabiki wataenda uwanjani?
Kitu ukitolea jasho na gharama huwa unaithamini, sasa kuna tofauti gani na ng'ombe kuingizwa kwenye zizi?
Yanga hawana standard vitu wanavyofanya, unajisikiaje timu unayopenda unaenda kuingia bure kama ng'ombe.
UpupuYanga karibu misimu yote popote katika nchi hii ndio timu inayo ongoza kwa Mashabiki wake kuingia uwanjani na haijalishi mkoa gani.
Kwa takwimu za Tff, Yanga ndio timu inayo ongoza kwa mashabiki kujaa viwanjani.
Mfano tuliona uthubutubwa mashabiki kwenda Rwanda na South Africa kwa idadikubwa.
Inachofanya klabu kwa sasa ni kurudisha fadhila kwa Mashabiki wake.
Msiba siku zote hauna kiingilioNi aibu mashabiki mechi kubwa kuingia dezo,uongozi wa Yanga umekuwa ukiamini mashabiki wao bila kiingilio kuwa bure hawezi kuingia uwanjani, kwanini wanapenda bure? Mechi kubwa kama hii kama ni bure je kwenye mechi ndogo ndogo hawa mashabiki wataenda uwanjani?
Kitu ukitolea jasho na gharama huwa unaithamini, sasa kuna tofauti gani na ng'ombe kuingizwa kwenye zizi?
Yanga hawana standard vitu wanavyofanya, unajisikiaje timu unayopenda unaenda kuingia bure kama ng'ombe.
BULE!?It's official now we call them
BULE FOOTBALL CLUB
MediamaNitajie mechi hata moja mliyowahi kuingiza mashabiki bure mkashinda
Hii ni mechi ya Mamelod vs Wydad fainali ya AFL mashabiki wote waliingia bure, asa sijui unataka kusema nini?Ni aibu mashabiki mechi kubwa kuingia dezo,uongozi wa Yanga umekuwa ukiamini mashabiki wao bila kiingilio kuwa bure hawezi kuingia uwanjani, kwanini wanapenda bure? Mechi kubwa kama hii kama ni bure je kwenye mechi ndogo ndogo hawa mashabiki wataenda uwanjani?
Kitu ukitolea jasho na gharama huwa unaithamini, sasa kuna tofauti gani na ng'ombe kuingizwa kwenye zizi?
Yanga hawana standard vitu wanavyofanya, unajisikiaje timu unayopenda unaenda kuingia bure kama ng'ombe.
Mkuu kwanini wamemuweka Percy Tau hapo kwenye Jezi ya Mamelodi au wameshindwa kumsahauHii ni mechi ya Mamelod vs Wydad fainali ya AFL mashabiki wote waliingia bure, asa sijui unataka kusema nini? View attachment 2941734
Nikuulize club ya yanga inarudisha kwa mashabiki wake baada ya kufanya nini haswa? Au kupata nin mpaka ikaamua kuweka mzunguko bureYanga karibu misimu yote popote katika nchi hii ndio timu inayo ongoza kwa Mashabiki wake kuingia uwanjani na haijalishi mkoa gani.
Kwa takwimu za Tff, Yanga ndio timu inayo ongoza kwa mashabiki kujaa viwanjani.
Mfano tuliona uthubutubwa mashabiki kwenda Rwanda na South Africa kwa idadikubwa.
Inachofanya klabu kwa sasa ni kurudisha fadhila kwa Mashabiki wake.