Mashabiki wa Yanga bila dezo hawaendi uwanjani

Nikuulize club ya yanga inarudisha kwa mashabiki wake baada ya kufanya nini haswa? Au kupata nin mpaka ikaamua kuweka mzunguko bure
Sababu ya uungaji mkono katika kuingia viwanjani, uchangiaji wa damu, utoaji misaada kwa wasiojiweza, ulipaji wa ada za wanachama na mashabiki n.k
 
APPLE iPHONE 6 PLUS 220,000

BRAND NEW & CLEAN FROM CANADA

SPECIFICATIONS

Battery Health - 100%
Fingerprint Sensor - Working


RAM - 1GB
ROM/Internal - 64GB
Screen Size - 5.5 inches
Operating System - iOS
Color - Gold
Display Type - IPS LCD
Resolution - 1080 x 1920
SIM - Nano SIM
Main Camera - 8MP f/2.2
Selfie Camera - 2MP f/2.2
Battery - 3000
Bluetooth - 4.0
USB 2.0 & NFC


0783060577
Haina kasoro yoyote kwa 220,000 tu
 
Nikuulize club ya yanga inarudisha kwa mashabiki wake baada ya kufanya nini haswa? Au kupata nin mpaka ikaamua kuweka mzunguko bure
Mechi inaanza sawa tatu usiku, halafu uanze kufikiria usafiri wa kurudi inakuwa haitamanishi kwenda Bora uangalie kwenye tv na wadau.
Na timu inahitaji hamasa ya mashabiki.
Ni faida kibiashara, unakubali kununua hamasa ili update mshiko wa billions baadae.
 
Yanga angetoza tu kiingilio maana nusu hapiti hata kidogo.Anajisumbua tu.

Mechi nyingi za mkundi Yanga kafanya fungulia mbwa
 
Yanga angetoza tu kiingilio maana nusu hapiti hata kidogo.Anajisumbua tu.

Mechi nyingi za mkundi Yanga kafanya fungulia mbwa
Gate collection ni hela ndogo hata ukijaza uwanja. Nusu Yanga anaweza kuingia
 
Kwanini wasijae uwanjani kama mechi dezo, Simba tunajaza na mashabiki wanalipa, Yanga bila dezo uwanja haujai.
Mechi ya kimataifa wanaingizwa bure wamezoea kuingizwa bure ha ha haaaa!!!
 
Kwenye hili kweli Yanga wameonyesha uoga wa hali ya juu sana
 
Yaani mechi hiyo tutajaa mamelodibwa tanzania,na vile wameweka bure,ndo kabisaaaa
 
Kuingia Bure Uwanja wa Taifa kunasababisha fujo na uvunjifu wa Amani.

Nakumbuka Mechi ya Mwisho Manji alitangaza kuingia Bure hadi mabomu yalirushwa ili kuzima fujo na kupunguza umati wa watu uwanjani.
Na sina uhakika kama pesa ililipwa.

Nashangaa TFF wanakubalije hii ruhusa hata kabla ya kupewa pesa ya kufidia uingiaji Bure.

Bure inasababisha usumbufu hadi kwa waliolipia tiketi kwa cash.
Dunia ya Leo mtu anafurahia kuingia Bure uwanjani.
Ni kwa manufaa gani?
Hana pesa au analazimishwa kuipenda timu?

Nipo nasubiri utekelezaji wa hii ruhusa.
 
Hzo data za kupikwa baada ya simba kukataa dili la AZAM media wakaamua waikandamize simba team ambayo inaweza kujaza taifa ni simba tu uliobaki ni uzwazwa wa mashabiki wa yanga maana wao ni bendera fuata upepo takwimu zenyewe alitoa AZAM dili lilikuwa la AZAM inamaama ulishindwa kugundua hilo .
 
Kutangaza na kufurahia dezo dezo ni mambo ya Ujima.
Kama hiyo dezo haita sitishwa mimi Binafsi siendi uwanjani.
Ni vurugu tupu na wizi vitatamalaki.
Watu wa anatembea kwa mguu toka Vikindu, Chamazi na Chanika kuja kuingia dezo Taifa.

Mechi ya Yanga na Mamelodi hata bila ya Bure Uwanja utajaa tu.
Dezo ni kujaza Vibaka katika eneo la Uwanja.
Na ikiwa hivyo Polisi wajiandae na Mabomu ya Mchozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…