NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kiufupi kikosi kipo katika mikono salama na Raisi wa Yanga sc Eng. Hers kafanya interview na kumshukuru Raisi wa nchi Mama Samia Hasani kwa kutoa ndege.
Lakini pia waziri wa sanaa na michezo Dkt Pindi Chana na balozi wa Algeria Jackob Kingu walikwenda kuitembelea kambi ya Yanga nakuwatia moyo wachezaji.
Yanga sc ipo katika mikono salama
Lakini pia waziri wa sanaa na michezo Dkt Pindi Chana na balozi wa Algeria Jackob Kingu walikwenda kuitembelea kambi ya Yanga nakuwatia moyo wachezaji.
Yanga sc ipo katika mikono salama