Mashabiki wa Yanga SC wakiambiwa ni ' Vichwa Maji ' / ' Kipa Katoka ' achilia mbali ' Utopolo ' wasiwe Wananuna

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kauli za Mashabiki wa Yanga SC kabla ya Mechi ya Simba SC na El Merreikh leo....

" Leo mtafungwa hamtoamini "
" Mtakoma mnacheza bila Watazamaji leo "
" Leo mmekomolewa na CAF hivyo mnacheza bila Mashabiki na hamtoingia na Paka wenu wale "

Kauli za Mashabiki wa Yanga SC mara baada ya Simba SC kuifunga El Merreikh Magoli 3 kwa 0 leo...

" Mmecheza na Madereva wa Teksi Khartoon "
" Mmewanunua kwani leo wamecheza hovyo sana "
" Nahisi Kikosi cha leo ni El Merreikh B "

Ninasisitiza aliyekuwa Kocha wao Dj Luc Eymael hakukosea alipowaita wana Yanga SC kuwa ni Nyani, Sokwe na Mbwa huku akiwadharau sana tu.
 
You're just a Wasted Sperm.
 
Usituchoshe wewe mbumbumbu! Nenda kakojoe uwahi kulala! Kesho nayo ni siku. Kwani kufungwa au kushinda kwenu, kunatupunguzia/kunatuongezea nini sisi?
Kumbe ile bikira mliyo tolewa na coastal siku ile ili sababisha mimba kabisa.! Ndiyo maana naona uto siku hizi gubu la mimba kama lote.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Usituchoshe wewe mbumbumbu! Nenda kakojoe uwahi kulala! Kesho nayo ni siku. Kwani kufungwa au kushinda kwenu, kunatupunguzia/kunatuongezea nini sisi?...
Tatizo ni huo mwiko huko nyuma.
 
Yanga ni katimu cha mchangani tu, kupigizana kelele na mashabiki wake ni kujichosha, Simba tuna mambo ya msingi ya kufanya.
 
Kushinda kwa Simba ni stress kubwa kwa utopolo wengi sana.Wengi akili zenu mnazijua wenyewe tu.
Usituchoshe wewe mbumbumbu! Nenda kakojoe uwahi kulala! Kesho nayo ni siku. Kwani kufungwa au kushinda kwenu, kunatupunguzia/kunatuongezea nini sisi?....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…