Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Tanzania ni taifa linalochekesha mda huo huo linasikitisha sana yaani uko nchini kwako mgeni anakuletea vurugu na humfanyi chochote kile
Yanga kule congo mazembe wameloga waziwazi na mwishowe wakawafanyia vurugu mashabiki wa Yanga
Watu hawa hawa ndo uwategemee kwa mabadiliko ilihali wanafanyiwa vurugu ndani ya nchi yao na hawafanyi chochote kile
Tuendelee kuwalaumu wakina mbowe ila tatizo la watanzania ni kubwa sana kuliko tunavyofikiri
Yanga kule congo mazembe wameloga waziwazi na mwishowe wakawafanyia vurugu mashabiki wa Yanga
Watu hawa hawa ndo uwategemee kwa mabadiliko ilihali wanafanyiwa vurugu ndani ya nchi yao na hawafanyi chochote kile
Tuendelee kuwalaumu wakina mbowe ila tatizo la watanzania ni kubwa sana kuliko tunavyofikiri