Mkuu umemaliza, heshima yako.Hivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzaalendo huwa namfananisha tahira au kichaa fulani hivi.
Acha kupangia watu Timu zao za kushangilia Mbumbumbu Mkubwa weweKwani ni lazima wewe kwenda uwanjani wakati timu yako haichezi taifa?? Si bora upande chaula express uwahi IRINGA ushangilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshaanza kubebwa nje ya Uwanja kupitia vitisho vya BashiteRubbish
Hivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzaalendo huwa namfananisha tahira au kichaa fulani hivi.
Kwi! Kwi! Kwi!
Hilo ni kosa chini ya sheria gani?
Ni nani ametema hizi pumba?
kama uwezo upo hata mcheze bila mashabiki mtashinda tuSerikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo
Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
Kama habari ya kweli utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha ramiSerikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo
Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
North Korea au Tanzania?Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo
Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
Mkuu, hamna kitu kama hicho. Mikia wanaweweseka sana. Kuna kitu wamekiona kuhusu mechi hii.
Haaaa. ...hapo nimekuelewaMkuu, hamna kitu kama hicho. Mikia wanaweweseka sana. Kuna kitu wamekiona kuhusu mechi hii.
Kaka tukutane Taifa na vuvuzela zetu za 2,000.Wanikamate kwa sheria ipi? Nitaishangilia As Vita kama kawaida