Mashabiki wa Yanga watakaoishangilia As Vita kukamatwa kwa kukosa uzalendo..

Mashabiki wa Yanga watakaoishangilia As Vita kukamatwa kwa kukosa uzalendo..

Hivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzaalendo huwa namfananisha tahira au kichaa fulani hivi.
Mkuu umemaliza, heshima yako.
 
Wakuu, hii habari ina ukweli wowote?

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
ss utakuwa unaenda kutafuta nn kwa mkapa bora ukaangalie ktk Tv yako tu
Hivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzaalendo huwa namfananisha tahira au kichaa fulani hivi.
 
Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo

Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
kama uwezo upo hata mcheze bila mashabiki mtashinda tu
 
Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo

Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
Kama habari ya kweli utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha rami

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo

Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
North Korea au Tanzania?
 
Back
Top Bottom