Mashabiki wamuandikia barua ya wazi kwa mwanadada Wema Sepetu

Mashabiki wamuandikia barua ya wazi kwa mwanadada Wema Sepetu

Jamani ilo kono la Wema loo!afu hajaacha mkorogo au?
 
Nyie marafiki, na dada zake, ndugu zake, na wapenzi wake hamumwambii ukweli! Kama ulivyosema yeye ni nzuri sawa mashaallah!....ninachokiona mimi ni kuwa wema hana maamuzi kama yeye ktk mapenzi, maamuzi ya nani ampende yameshikiliwa na watu wanamzunguka hasa hasa mama yake!...huyu alimtongoza daimond kipindi katoka kuchukua tuzo za kili 3,na wakati huo huo anaendelea na mahusiano na c..., ikafikia mpaka chibu akawa amelalamika sana kuhusu hilo, isitoshe inasemekana alikuwa anamuaga na kumwambia leo naenda kwa mwenzio....mpak dai akabwaga manyanga...kwa upeo wangu wema anampenda dai..lkn kuna watu pamoja na mleta uzi wanamtaka wema awe na mtu wa aina fulani mwenye maisha fulani....mukapiga kampeni akiwemo mama yake wema kuwa bring back our wema...mukamuweka njia panda juu ya maamuzi yake, na mukumbuke ndicho kipindi ambacho dai alishatangaza kutaka kumuoa wema lkn upande mwingine mama yake wema akiapa kuwa mwanae hawezi kuolewa na diamond...mbona mnakuwa wepesi wa kusahau? Hata ingekuwa wewe unaetoa ushauri siku ya birthday ya mumeo, analetewa zawadi ya chupi na mpenzi wake wa zamani ungejisikiaje? Anaulizwa hii bmw imetoka wapi anashindwa kutetea hoja...automatic wema kamwaga dai na mwisho wa siku anaangukia kwa waume za watu...na muda unaenda! Miluzi mingi ilimpoteza mbwa
 
Nyie marafiki, na dada zake, ndugu zake, na wapenzi wake hamumwambii ukweli! Kama ulivyosema yeye ni nzuri sawa mashaallah!....ninachokiona mimi ni kuwa wema hana maamuzi kama yeye ktk mapenzi, maamuzi ya nani ampende yameshikiliwa na watu wanamzunguka hasa hasa mama yake!...huyu alimtongoza daimond kipindi katoka kuchukua tuzo za kili 3,na wakati huo huo anaendelea na mahusiano na c..., ikafikia mpaka chibu akawa amelalamika sana kuhusu hilo, isitoshe inasemekana alikuwa anamuaga na kumwambia leo naenda kwa mwenzio....mpak dai akabwaga manyanga...kwa upeo wangu wema anampenda dai..lkn kuna watu pamoja na mleta uzi wanamtaka wema awe na mtu wa aina fulani mwenye maisha fulani....mukapiga kampeni akiwemo mama yake wema kuwa bring back our wema...mukamuweka njia panda juu ya maamuzi yake, na mukumbuke ndicho kipindi ambacho dai alishatangaza kutaka kumuoa wema lkn upande mwingine mama yake wema akiapa kuwa mwanae hawezi kuolewa na diamond...mbona mnakuwa wepesi wa kusahau? Hata ingekuwa wewe unaetoa ushauri siku ya birthday ya mumeo, analetewa zawadi ya chupi na mpenzi wake wa zamani ungejisikiaje? Anaulizwa hii bmw imetoka wapi anashindwa kutetea hoja...automatic wema kamwaga dai na mwisho wa siku anaangukia kwa waume za watu...na muda unaenda! Miluzi mingi ilimpoteza mbwa

Huu ndio ukweli halisi, anatakiwa kujishusha, awe mtu wa kutoka na kolola na kula ugari na bamia, akitaka matajiri ataumia sana atumie vizuri uigizaji wake awe na kipato cha kawaida, au kama amejibidisha kimasomo atafute kazi kama vodacom, Tigo, Airtel nafikili hawawezi kumtupa maana anawatangazia sana biashara. Ushauri wangu ni kuwa atafute kazi ahajiliwe asaulike katika vyombo vya habari kama alivyofanya sinta, huko kazini anaweza kumpata mtu wa aina yake wakatengeneza maisha, maisha ya ustaaa ni bei ghali muno , ustaa unawatesa wengi, hivyo kujishusha inakuwa ngumu wanapopata matatizo ya kifedha. Hivi wanadhali ustaa wa tz unakaaga miaka kumi? hata hivyo amejitahidi kuwepo angani mpaka imefikia hatua mtoto mama yake akimtuma gazeti anasema gazeti gani? la wema? akimaanisha Ijumaa.
 
ngoja amlipue kashindwa kumsikiliza mama ake na dada zake itakua weye
yetu macho...!
 
Wema angetulia tangu mwanzo angepata mume bora bt now its too late kwani wanaume washamuona km big G unatafuna ikiisha utam unatema tatizo mastaa wetu wanapenda maisha ya ghali ilihali uwezo huo hawana. Km mwanamke unatakiwa ujitambue na uijue thamani yako wewe kwanza sasa bi dada yeye hilo halijui. Kuna mtu katoa wazo wema angetafuta kazi mbna fasta tu angepata bt ye amekalia vigodoro tu hiyo endless fame tangu amefungua cjawahi kuina wala kusikia movie hii imetengenezwa na endless fame yaani yupo yupo tu hata kwenye movie cku hizi haonekani au ndo kawekeza kwa madanga??? Wema ni binti mzuri sana tu tatizo hajitambui na pia hana washauri wazuri.
 
Ushauri huo kamwe hauwezi kuzingatiwa kabisa! Wame ana tatizo zaidi ya hilo!
 
Mnakosaga na ya kufanyaa,,ukiwa rafiki wa wema Sare zinahusikaa kwii kwiiii kwiiii
 
Ushauri my foot! Subirin uso ukimshuka atatafuta ajira yy mwenyew bt for nw acha aendelee kujipa moyo na usupa star hewa.mxiuuuuu
 
Nimeamini asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu,now Diamond anatesa na Zari
 
cheki mama Diamond kapose pembeni ya Zari
10810008_1516413025275630_1021551154_n.jpg
na hivi zari ana mshiko,Wema atachanganyikiwa mwaka huu,kaanzisha urafiki na Penny coz alihofu Domo angerudisha majeshi kwa penny,kumbe kaenda South Africa
 
Back
Top Bottom