Mashabiki wanne wa Simba wafungiwa

Mashabiki wanne wa Simba wafungiwa

Wachezaji wa Yanga walitembea kwa miguu kutoka Uhasibu hadi uwanjani. Ingekuwa Simba wamefanya hivyo, kelele zingekuwa nyingi sana
Nyie mrirundi kinyumenyume.
Tafakari hapo nani ana afadhali
 
jibu unalo, kwa maswala ya kichawi hapa nchini na africa simba ndio babalao hata CAF na TFF wanalijua hili
Wakati huo huo wanaopigwa faini kila Kariakoo dabi kwa vitendo vya kishirikina ni wengine
 
Aucho kafanya makosa,kwahiyo asiadhibiwe ? Mnapenda sana kuchukulia kila kitu mnaonewa ili kunufaisha timu flani,badilikeni basi bodi ya ligi ipo sahihi,hata kama Ajibu alifanya utoto lakini Aucho kama professional footballer hakustahili hizo reaction zake.
Ajibu ana mchezo sawa na timu za kaskazini. Hategemei kucheza mpira, anategemea kuvuruga mpira kwa kukera wengine. Siku ile aliongoza kwa rafu za kisukuma sukuma ili kuwatoa mchezoni wachezaji wa YANGA. Alitegemea sana wachezaji wa YANGA wapewe red cad matokea yake akapewa yeye kiwiko,ilikuwa halali yake kabisa.

Hapo kwenye adhabu ilitakiwa na yeye apewe adhabu,ksbb chanzo cha kile kiwiko ni dharau zake,mchezaji wa YANGA anauchukua mpira ili apige faulo yeye akanyang'anya na kuipiga nje. Ilitakiwa apewe adhabu pia.

Naiona pia TFF bado iko dhidi ya YANGA tu. Wameshindwa kwenye ile mbinu ya kwanza ya kuipangia ratiba ngumu kwa timu ngumu kwa karibu karibu,zote YANGA kapita nazo. Wamekuja na vitu vingine fungia na faini kubwa. Sasa kitendo cha timu kuchelewa kuingia uwanjani ni kosa kubwa kuliko la kupita mlango mwingine...!. Ona kwenye adhabu. YANGA M.5. NA simba 1.
Nawaomba viongozi wangu wa YANGA wawe makini sana huku mbele. Nia inaonekana tu.

Aucho kafanya makosa,kwahiyo asiadhibiwe ? Mnapenda sana kuchukulia kila kitu mnaonewa ili kunufaisha timu flani,badilikeni basi bodi ya ligi ipo sahihi,hata kama Ajibu alifanya utoto lakini Aucho kama professional footballer hakustahili hizo reaction zake.

Kweli ile mechi yanga walituzidi uchawi, simba ilicheza na misukule kwa sura halisi za wachezaji wa Yanga
Endelea kusubiri hapo hapo na mambo ya kizamani ya uchawi huku YANGA wakipiga soka
 
Wakati huo huo wanaopigwa faini kila Kariakoo dabi kwa vitendo vya kishirikina ni wengine
Sio kweli.
Nyie ni tabaka lingine tunaposemea uchawi.
simba ana faini za CAF kule south, na faini nying za TFF rejea faini ya gadiel Michel msimu uliopita
 
Sio kweli.
Nyie ni tabaka lingine tunaposemea uchawi.
simba ana faini za CAF kule south, na faini nying za TFF rejea faini ya gadiel Michel msimu uliopita
Kumbe kuna matabaka kwenye uchawi? Kwa hiyo unachotaka kusema Yanga ipo tabaka la chini?
 
Kumbe kuna matabaka kwenye uchawi? Kwa hiyo unachotaka kusema Yanga ipo tabaka la chini?
Maana ni nyingi.
Lakini umekubali kuhusu hizo faini za simba CAF na TFF.
sajilini na muwe professional, msiishi na historia maisha yanabadilika.
 
Maana ni nyingi.
Lakini umekubali kuhusu hizo faini za simba CAF na TFF.
sajilini na muwe professional, msiishi na historia maisha yanabadilika.
Huo ushauri upeleke kwanza pale Jangwani ufanyiwe kazi siyo kila siku mnavunja mageti kama vibaka
 
Sasa watu wanapiga tantarira
Simba tushazoea utulivu tunafanyeje kuweka amani sawa😂
 
Kwa sasa TFF ni tawi la Yang'a..ile mitaulo tena ilikua inatolewa na wachezaji walikua wanawaangalia wangewafungia kwanza hao wachezaji wapenda ndumba...
 
Back
Top Bottom