Mashabiki Wavamia Uwanja Old Trafford.

Mashabiki Wavamia Uwanja Old Trafford.

Chaliifrancisco

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
26,021
Reaction score
79,710
Mashabiki wenye hasira wa Man United wamejikusanya Old Trafford muda huu huku wengine wakiwa wamevamia pitch kushinikiza kuondoka kwa mmiliki wa club hiyo Glazer.

Kuna hati hati mechi kati ya Man U na Liverpool kusogezwa mbele au kuahirishwa kwasababu za kiusalama.
3325.jpg

5411.jpg
 
Wanazingua nataka wagongwe na Liver Man City achukue kombe, hii game inaonekana muda wa kuanza utasogezwa mbele.
 
United Fans have made it into the home dressing rooms and that is why this game could be called off - a red zone breach in terms of coronavirus.

[Echo]
 
bora hao watu waachie hiyo club ...
sema man u in mda imenyakuwa kombe la ligi wanaumia sana mashabiki
 
Hamna mkuu..hawa wazungu wameshafukwa tu..tumeona kwa Arsenal,Chelsea pia nao wameshafanya kama hivi recenty..sema sisi tumeenda mbali sana hadi tumeinvade inside the pitch..
Naona wanasema kuna uwezekano game ikapigwa.
 
Match kati ya timu za ligi kuu England kati ya Manchester united na Liverpool imesongezwa mbele baada ya mashabiki wa timu ya Manchester united kuvamii uwanja(pitch) na kufanya vurugu wakishinikiza mwekezaji wa timu aondoke

Tangu majuzi baada ya vilabu kadhaa ikiwemo Manchester united kutaka kuanzisha league ya European super league mashabiki walikuja juu na sasa suala hili limefikia pabaya na huenda likasamba ulaya nzima .


USSR
Kideo hiki

Ova
 
Hawamtaki Mo wao ?[emoji16][emoji4][emoji16][emoji16]
Mkuu hao wamiliki wao ni parasite, wanajilipa mamilioni wenyewe kama 'Consultant fees' kila mwaka wakati uwanja umechoka unahitaji marekebisho, mvua ikenyesha panavuja 😂😂
 
Back
Top Bottom