Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwa mujibu wa Yahaya Mkazuzu wa Clouds Fm anadai kuwa mashabiki waliokuwa wamechoshwa na kukaa kwenye foleni huku utaratibu wa kuingia uwanjani ukiwa haupo vizuri, basi mashabiki wakavunja geti na kuingia uwanjani.
Mvua kubwa inayoendelea hapo kwa mkapa, ikawafanya watu washindwe kuvumilia wakawazidi nguvu polisi na kuingia uwanjani.
Mliopo kwa mkapa hali ipoje njooni mtujuze.
====
UPDATE;
Kumetokea fujo na vurugu kubwa Uwanja wa Mkapa kwenye Mechi ya Mkondo wa Kwanza wa Fanaili kati ya Yanga Vs USM Alger, geti lavunjwa. Maelfu ya mashabiki waingia uwanjani.
Video: Bongo 5
Mvua kubwa inayoendelea hapo kwa mkapa, ikawafanya watu washindwe kuvumilia wakawazidi nguvu polisi na kuingia uwanjani.
Mliopo kwa mkapa hali ipoje njooni mtujuze.
====
UPDATE;
Kumetokea fujo na vurugu kubwa Uwanja wa Mkapa kwenye Mechi ya Mkondo wa Kwanza wa Fanaili kati ya Yanga Vs USM Alger, geti lavunjwa. Maelfu ya mashabiki waingia uwanjani.
Video: Bongo 5