Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakubangachadema walidai hakutakua na mvua za kutosha sijui saivi sura zao wanaziweka wapi
wale c vyuraHii mvua ina subiri Yanga wakiwa wana cheza 2
We boya kwelichadema walidai hakutakua na mvua za kutosha sijui saivi sura zao wanaziweka wapi
Badala ya kuwa na taratibu za uwajibikaji na kuheshimu watu kwa kuandaa taratibu zenye kuheshimu nafasi za watu hao, sisi tunaendeleza utaratibu wa kuwadharau watu na kuwapa hudumu kwa kadili tunavyojisikia badala ya kuzingatia taratibu zenye viwango.Kwenye mambo ya free bot halafu wananchi unawagandisha nje kama bismini we unategemea nini?
Watu wame relax sanaMbona kipindi cha Manji haya kutokea haya.
Ni mvua ya Simba hii huu ni muendelezo tangu mechi ya watani "kuzika maiti" sasa mganga wa makolo kahamia Yanga coz Simba makapuku wameloa wameloaa hawana hela kanjibai bahili!Hii mvua ina subiri Yanga wakiwa wana cheza 2
Wale mishipa ya aibu ishakatikagachadema walidai hakutakua na mvua za kutosha sijui saivi sura zao wanaziweka wapi
Kwa hiyo mvua ikinyesha Dar basi ndiyo mvua za kutosha au ?chadema walidai hakutakua na mvua za kutosha sijui saivi sura zao wanaziweka wapi
eneo kumbwa hali ni nzuri jambo ambalo wanahaha na kutoamini macho yaoKwa hiyo mvua ikinyesha Dar basi ndiyo mvua za kutosha au ?
Ajabu sana nadhani kilichotokea kimevunja moyo wengi waliokuwa wanajiandaa kuelekea uwanjaniwatu wamekwenda kuangalia mpira na mvua hii badala wafungue mageti watu waanze kuingia mapema wanawalundika nje wajazane pasipo na sababu,kama tiketi zimekwisha wangerehusu watu waingie mapema.
USM ALGER ulikua Malumo juzi [emoji16][emoji16][emoji16]