Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUku bushirombo tushaanza kusahau kama kuna mvua, jua linatukaanga.
Nchi wa vilazza vitu vidogo tu wanashindwa kutoa utaratibu boraKwenye mambo ya free bot halafu wananchi unawagandisha nje kama bismini we unategemea nini?
Na utaumia kweli leo na roho yako ya kenge.Wacha yauane tu hayo makwasukwasu
Ndio mambo ya fungulia mbwa nduguNchi wa vilazza vitu vidogo tu wanashindwa kutoa utaratibu bora
Sukuma Gang ni majuha sanaKwa hiyo mvua ikinyesha Dar basi ndiyo mvua za kutosha au ?