Historia zinaendelea kuandikwa,
1. Yanga kucheza fainali Shirikisho kwa mara ya kwanza , no bahasha Makolo mpo?
2. Diarra kutoka Mali hadi kuifikisha Yanga fainali kwa best footwork na kuwanyima sifa mastraika wa timu pinzani , anadaka mishale, mabomu, makombora, risasi, Mawe, manati, kombeo hata mikuki ya Maasai🤪!
3 Nabi kufukuzwa ukocha huko machokoroni alikokuwa hadi kuwa profesa wa kusoma mchezo na kufanya super sub
4. Mayele kuletwa mbadala wa Makambo anapochemka au kuchoka hadi kuwa straika hatari zaidi Afrika kwasasa hata umchunge vipi kama hujaroga kama Simba , anakubutua tu
5. Taa za uwanjani Mkapa kuzimwa makusudi Kila Yanga inapocheza usiku na timu kubwa! Stupid beans!
6. Mashabiki Utopolo Lia Lia kuvunja mageti Mkapa na kuingia uwanjani Bure kabla ya fungulia mbwa! Kwani wametumia zana Gani? Magreda?
7. Yanga ... (Endeleza...)