Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Ni kweli! na pia tulikuwa hatufurahii. Ila cha kushangaza, nyinyi mnafurahia eti!
Kwani Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada FC yameshasahau yalikaaga miaka mi4 bila kuchukua ubingwa wa ligi kuu TZ au ndiyo yanajizima tu data?

Alianza Azam kisha Yanga mara 3 mfululizo, kweli Aden Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu [emoji87]
 
Weka picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…