Mashairi maalulum kwa pisi kali ambazo tabia ni F na tamaa zimewameza

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Ukimuona utadhani malaika/

Kwa jinsi alivyo umbika/

Jicho la kulainika/

Kiuno kimebinuka/

Tumbo limefutika/

Mpodo umejazika/

Sauti yake tamu hakika/

Yaani mtoto kakamilika/

Ana haiba ya kutukuka/

Na msafi mithili ya paka/

Ni mrembo alopambika/

Na anavutia kwa kila rika/

Ukimuona utashawishika/

Japo mwingi wa haiba/

Ila kitabia hajui kushiba/

Mtaani bonge la kahaba/

Kudanga ndio wake mkataba/

Haangalii sura ye anajali fuba/

Anadai anatafuta hela sio mahaba/
 
Wakiona Pesa tu wanakaba
Siku hizi nao wanajiona wababa
vichwan mwao wamejaza jaziba
Akiwa wa uswazi Saa yako ataiba
Akiwa wa kishua udume ataubeba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…