Mashali amtwangia Cheka nyumbani kwao moro!

Mashali amtwangia Cheka nyumbani kwao moro!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Bondia Thomas Mashari kutoka Dar amempiga Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.

Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata pointi 96, 93 na 93
 

Attachments

  • Mashali-vs-Cheka.jpg
    Mashali-vs-Cheka.jpg
    16.1 KB · Views: 1,145
Bondia Thomas Mashari kutoka Dar amempiga Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.

Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata pointi 96, 93 na 93[/QUOTE warudie hili pambano mashali atachonga sana
 
Bondia Thomas Mashari kutoka Dar amempiga Francis Cheka kwa pointi mjini Morogoro katika pambano la raundi 10, uzito wa Kg 77.

Majaji wamempa Mashari pointi 94, 96 na 97 wakati mwenyeji Cheka amepata pointi 96, 93 na 93[/QUOTE warudie hili pambano mashali atachonga sana

Kwa Points Hizo Hata Cheka Atachonga, Kuwa Mashali Amebebwa! Ilikuwa KO!!! Ila Mashali Amejitahidi Na Nadhani Wkt Wa Enzi Za Cheka Unakaribia Mwisho, Kama Ilivyokuwa Kwa Akina Matumla (RASHID MATUMLA, MBWANA NA HAJJI MATUMLA!!!
 
Ushindi wa point huwa si Ushindi wa uhakika labda Hizo point ziwe za tofauti kubwa na zihesabiwe kisayansi Kama kule U.S.A lakini point za huku Tanzania nyingi huwa za kubahatisha tu , Ushindi bora ni wa KO unamaliza biashara Kama Tyson wa zamani .
 
cheka sasa hivi hana kitu hata mie namdunda
 
Kwa Points Hizo Hata Cheka Atachonga, Kuwa Mashali Amebebwa! Ilikuwa KO!!! Ila Mashali Amejitahidi Na Nadhani Wkt Wa Enzi Za Cheka Unakaribia Mwisho, Kama Ilivyokuwa Kwa Akina Matumla (RASHID MATUMLA, MBWANA NA HAJJI MATUMLA!!!
Wajifunze kumaliza Mapambano Kwa KO hivyo vipoint kiduchu lazima Cheka achonge sana.
 
point huwa ni utashi wa jaji, wanaangalia jinsi bondia anavotupa punches na ku dance ulingoni, lakini ushindi mzur ni KO hauna ubishi
 
Ni bora angempiga KO ungeleta maana kubwa zaidi Hizo point alizoshindia ni ndogo sana.

Mkuu hizo nisheria zimewekwa!ikiwa ushindi wa pointi unakutatiza hivyo!matokeo ya sare naona hutokubaliana nayo kabisa.
 
Back
Top Bottom