Mashallah Zarina Hassan kaolewa

Umenena kweli kbsa mkuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Interview yake moja Aliukizwa inasemekana ameiba Bwana wa watu...

Akajibu..."Wakati Bwana anaibiwa Mlinzi wa kulinda Bwana alikuwa wapi"[emoji1][emoji1][emoji1]
Mie nilichekaa kuna interview aliulizwa hivi, mbna wee ni mtu mzima ila unafanya mambo ya kitoto,
Akajibu hata hao watoto wafanye mambo ya kikubwa km wana uwezo lakini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada nilicheka ile siku km chizii yaan.
 
Naiwekea lamination mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…