uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Lishangazi limeolewa na kibenten
Ila ataufaidi ule mpaja mnene
Ule mpaja kila nikiuona tu nalowa
Hivi wanaume wanaloa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lishangazi limeolewa na kibenten
Ila ataufaidi ule mpaja mnene
Ule mpaja kila nikiuona tu nalowa
Kwa hiyo dogo wakiachana baada ya miaka kazaa ya ndoa kupita 50/50 lazima itahusika hapo au sio?Mume wake huyu hapa , diamond hawezi hapa
WalaKwa hiyo dogo wakiachana baada ya miaka kazaa ya ndoa kupita 50/50 lazima itahusika hapo au sio?
Umenena kweli kbsa mkuuWazazi mkae vizuri na vijana wenu , muwahusie sana juu ya swala la ndoa na mahusiano. Muwaambie ukweli kuwa mwanaume hana cha kuharakia katika Ndoa kama mwanamke. Hakunaga mwanaume anayechelewa kuanza maisha ya Ndoa ila mwanamke ndie huchelewa.
Mwambie mwanao kuwa mwanamke akicheza na kuleta masihara katika umri chini ya miaka 25 huku juu kinachofuata ni mikosi na mabalaa na Ndoa inakuwa ni swala la kubahatisha kama sio la kupambania.
Mwambie yeye kwamba mwanaume thamani yake huanza kuanzia miaka 30 hadi uzee. Mwambie miaka 29 ya kwanza ndio umri anatakiwa kujijenga na kujiimarisha kiakili zaidi na sio umri wa kulilia mapenzi na kuhangaika na wanawake kihisia.
Coca mbona unajijibu tena?[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee tafuta lishangazi uoe.
Si 50/50 ipo kisheria kwa mwenye mali nyingi?Wala
Hakunaga unasign prenup kama unampendaSi 50/50 ipo kisheria kwa mwenye mali nyingi?
Aisee, chambo wa chama Cha wezi mna shida 😁😆😀. I mean no malice to nobodyMkuu ni kweli ulidhamiria kuandiki hivi? Unaloa wapi?
Mie nilichekaa kuna interview aliulizwa hivi, mbna wee ni mtu mzima ila unafanya mambo ya kitoto,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Interview yake moja Aliukizwa inasemekana ameiba Bwana wa watu...
Akajibu..."Wakati Bwana anaibiwa Mlinzi wa kulinda Bwana alikuwa wapi"[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi nn dear??Mume wake huyu hapa , diamond hawezi hapa
Najijibu tena how??Coca mbona unajijibu tena?[emoji15]
Hamkuti mwamba Kwa kifua,hicho kifua ni mashallah,anajua makitu ndio maana huyu zari kamua kuolewa naye mbona SI dai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi nn dear??
Basi sawaaahHamkuti mwamba Kwa kifua,hicho kifua ni mashallah,anajua makitu ndio maana huyu zari kamua kuolewa naye mbona SI dai
Naiwekea lamination mkuuWazazi mkae vizuri na vijana wenu , muwahusie sana juu ya swala la ndoa na mahusiano. Muwaambie ukweli kuwa mwanaume hana cha kuharakia katika Ndoa kama mwanamke. Hakunaga mwanaume anayechelewa kuanza maisha ya Ndoa ila mwanamke ndie huchelewa.
Mwambie mwanao kuwa mwanamke akicheza na kuleta masihara katika umri chini ya miaka 25 huku juu kinachofuata ni mikosi na mabalaa na Ndoa inakuwa ni swala la kubahatisha kama sio la kupambania.
Mwambie yeye kwamba mwanaume thamani yake huanza kuanzia miaka 30 hadi uzee. Mwambie miaka 29 ya kwanza ndio umri anatakiwa kujijenga na kujiimarisha kiakili zaidi na sio umri wa kulilia mapenzi na kuhangaika na wanawake kihisia.
🤣🤣Naskia Dida nae anaolewa tena 🏃🏃🏃🏃