Baba Tarabushi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 248
- 433
Kapicha sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uskute amesahau yuko kwenye id yakiumeMkuu ni kweli ulidhamiria kuandiki hivi? Unaloa wapi?
Kwamba ana multiple ID? 😅😅Uskute amesahau yuko kwenye id yakiume
Hahahahahahaha jamani Sasa hili balaaaa hiliii kaahj aolewe Tena yule mpk akifika 50 atatafuta nayeye Wa kumtuliza Kwa Sasa hapanaNaskia Dida nae anaolewa tena [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hajawai olewe kidini Ndo mara ya kwanza Ivan alimlipia mahari tu,diamond Ndo wale wale mwakito....mbi....Namba A mwenye 45+ naolewa mara kumi kumi. Namba D na E mnafeli wwapi
View attachment 2590775
Dida hawezi pitish miaka miwili bila kuolewa yule 😅😅Hahahahahahaha jamani Sasa hili balaaaa hiliii kaahj aolewe Tena yule mpk akifika 50 atatafuta nayeye Wa kumtuliza Kwa Sasa hapana
Ngoja amlee Samira tu[emoji2][emoji2][emoji2]
🤣🤣🤣 Eti Hakimi, Diamond ajiroge amuandike mama Ake kwenye Mali....Anko Shamte atapita nazo hivi🤣🤣🤣Hajawai olewe kidini Ndo mara ya kwanza Ivan alimlipia mahari tu,diamond Ndo wale wale mwakito....mbi....
Mama Ake anamuita hakimi Wa bongo,akiona anataka kuoa tu anamdhibiti mnooo asioe
Na Mashangazi.....Balaaa tupu mwaka WA masingle mama huu kuolewa mbonaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji122][emoji12][emoji12][emoji12]
Naimani mpk pale alipo atakua kajifunza mnoo na atatulia Kwa uwezo wa Mungu[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Hongera zake, kuna watu wanazisaka kwa tochi hizo ndoa mixer kutegeshea mimba na kuroga sanaa ila wapi so akitulize tu shangazi huyu sio kupasha viporo na baba tiffa mana breki hazikabi kwa kale kajamaa
Wala hachezewi oaneni tunaambiwa hivi "oaneni Kwa wema na achaneni Kwa wema"Mungu wa waislam anachezewa sana kwenye suala la ndoa. Zari malkia wa wadanganji na ma slay queens.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee tafuta lishangazi uoe.Lishangazi limeolewa na kibenten
Ila ataufaidi ule mpaja mnene
Ule mpaja kila nikiuona tu nalowa
Hahahahahahaha ..eehh..anamuita Hakimi mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti Hakimi, Diamond ajiroge amuandike mama Ake kwenye Mali....Anko Shamte atapita nazo hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]