Njopekamashamba
Senior Member
- Sep 12, 2022
- 112
- 59
- Thread starter
- #81
naaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi hayo mashamba mmeyatoa wapi? Au mnavamia tu nyika na misitu mnajiuzia hifadhi ya ardhi ya serikali?Shamba eka tatu lipo mwarusembe mkuranga pwani linatakiwa milioni nne kilo mita moja kutoka barabara kilwa road View attachment 2492207
Akikujibu naomba unitagi pleaseN
Nyinyi hayo mashamba mmeyatoa wapi? Au mnavamia tu nyika na misitu mnajiuzia hifadhi ya ardhi ya serikali?
Safi sana!Ardhi ndio kitu pekee kila siku kinapanda thamani tofauti na simu au gari, pata mashamba na maeneo karbu na Dar kwa bei nafuu kuanzia milioni moja na nusu kwa eka pia maeneo ya viwanda yapo mengi saana njoo tuwekeze nyumbani weka urithi wako wa baadaye.
SIMU: +255625977427
View attachment 2481574View attachment 2481575View attachment 2481576
Hili bado lipo? Pia ningependa kupata shamba mkoa wa Tanga ndani ndani huko. Sitaji barabara ilimradi shamba linafikika na upatikanaji wa maji upo japo siyo lazima.Shamba eka 50 lipo matanzi mkurang pwani eneo zuri kwa ajili ya kufuga limetengwa na serikali pia unaweza kulima maji ya kutosha lipo mbali na makazi ya watu kila eka laki 6 karibu saana +255625977427View attachment 2494585
Utakuwa unataka kulima bangi wewe ngoja nikufuatilie.Hili bado lipo? Pia ningependa kupata shamba mkoa wa Tanga ndani ndani huko. Sitaji barabara ilimradi shamba linafikika na upatikanaji wa maji upo japo siyo lazima.
Nipe maelekezo tufanye biashara hata kesho.