Njopekamashamba
Senior Member
- Sep 12, 2022
- 112
- 59
- Thread starter
- #41
Shamba eka tatu lipo mwarusembe mkuranga pwani linatakiwa milioni nne kilo mita moja kutoka barabara kilwa road
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapajua matenzi njoo uone nauli kwangu ukikuta tofauti na picha nakurudishia pesa yako mkuu ya usumbufuHizi picha sio za mazingira ya mkuranga acha ku google utaonekana tapeli usidhani wote humu wageni wa wilaya ya mkuranga.
angalia vizuri hiyo ardhi ina asili ya uwala maeneo ya bonde chini kuna asili ya tope unahisi kuna faida gani niweke picha ambayo siounapajua matenzi njoo uone nauli kwangu ukikuta tofauti na picha nakurudishia pesa yako mkuu ya usumbufu
Kiwanja mnaazia kuuza bei gani?Karibu saana mkuranga karibu saana mwarusembe karibu saaana mkoa wa pwani ardhi bado ipo ya kutosha mashamba na viwanda njoo uchukue eneo lako kwa bei ya mkulima hakuna dalali kuanzia laki sita mpaka milioni mbili kwa eka moja +255625977427View attachment 2500529
kiwanja tunanzia laki tisa karibu boss +255625977427
TUNAYO MASHAMBA BEI KUANZIA MILIONI MOJA NA NUSU KWA EKA +255625977427View attachment 2481600
Nitafutie kiplot cha 500k chiefmashamba bado yapo
ndio ila mimi nipo kijiji cha mwarusembe njopeka ni jina la ukoo wanguView attachment 2516352
Njopeka ndio kama hapo au?