Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Hilo Shamba lina acid ya kutosha.Lipo Kijiji Cha matiganjola
Ktk kata ya ikuna wilayani njombe mkoa wa njombe
Lina ukubwa wa eka 20
Kutoka njombe mjini ni umbali wa kilomita 20 tu
Kuna chanzo Cha maji karibu
Gari linafika mpaka shambani
Bei ni tsh 600000 kwa eka
Lina limika kwa ng'ombe au trekta
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024View attachment 1705649View attachment 1705650View attachment 1705651
Wauzie shamba la kwako hiyo 200kHilo Shamba lina acid ya kutosha.
PH iko low sanaaa.
Dalali unauza eka 600k wakati huku Iringa napata kwa 200k...
Dalali unamnyima mwenye Shamba wateja.
#YNWA
Hivi unajua kuwa "apart from" janga la moto lililolikumba hilo Shamba, hivi unajua LINA ACID NYINGI..???Wauzie shamba la kwako hiyo 200k
Ukinunua unapanda wewe mwenyeweMuuzaji hilo shamba tayari lina miti ya miparachichi au nikinunua naanza kupanda upya kabisa??
Mbona mmekazana kusema shamba lina Acid nyingi mmelipima? Huwezi pima Soil pH kwa macho. Parachichi linahitaji pH ya 5-7,sa mmejuaje kuwa ni pungufu au zaidi ya hiyo? Labda km mmepima kwa uchawiHivi unajua kuwa "apart from" janga la moto lililolikumba hilo Shamba, hivi unajua LINA ACID NYINGI..???
Atakae nunua akitaka KUTOBOA kwenye Parachichi basii Chokaa mazao ina kuhusu hasa.
Sasa how are you balancing gharama za Chokaa mazao?
#YNWA
Kwenye vipimo vya science kunaMbona mmekazana kusema shamba lina Acid nyingi mmelipima? Huwezi pima Soil pH kwa macho. Parachichi linahitaji pH ya 5-7,sa mmejuaje kuwa ni pungufu au zaidi ya hiyo? Labda km mmepima kwa uchawi
..... mimi nimkulima wa miti tokea 2014 na niko kwenye Parachichi tokea 2018.Mbona mmekazana kusema shamba lina Acid nyingi mmelipima? Huwezi pima Soil pH kwa macho. Parachichi linahitaji pH ya 5-7,sa mmejuaje kuwa ni pungufu au zaidi ya hiyo? Labda km mmepima kwa uchawi
Sometimes Experience is the best for the fool.Sio tusi ni msemo tu mkuu don't quote me wrong...... mimi nimkulima wa miti tokea 2014 na niko kwenye Parachichi tokea 2018.
Kwahiyo kwa nina EXPERIENCE hasaa na kilimo.
#YNWA
Hujalazimishwa kununua hili shambaSi afadhari niende Ngara nikanunue heka 50 kwa milion mbili tu nilime midizi
Upo sawa kabisa,Kuna jamaa hawana pesa wanataka kuwakwaza na watu wengineMbona mmekazana kusema shamba lina Acid nyingi mmelipima? Huwezi pima Soil pH kwa macho. Parachichi linahitaji pH ya 5-7,sa mmejuaje kuwa ni pungufu au zaidi ya hiyo? Labda km mmepima kwa uchawi
Kwenye vipimo vya science kunaSometimes Experience is the best for the fool.Sio tusi ni msemo tu mkuu don't quote me wrong.
Vp km huo udongo una kiasi kikubwa cha Alkaline. Maana athari za Acid nyingi au Base nyingi kwa macho athari zake hufanana.
Ndio maana nmesema ili mtu aseme hilo shamba lina tatizo la Acid basi lazima apime.
Km unachoongea kingekuwa na uhalisia Lab technician wasingekuwepo. Eye analysis ni hatua ya awali kisha Lab.analysis kufuata ili ku-confirm the result.Kwenye vipimo vya science kuna
1. Eye analysis
2. Touch/Skin analysis
3. Na laboratory analysis
Mbona humwambii Dk. "Umejuaje sina damu kwa kuniangalia na hujanipima?""
Kama wewe ni mkulima huwezi kushangaa kwamba kwa kuangalia tu hilo Shamba lina low Ph.
Mnunuzi ili apande Parachichi anahitaji Chokaa mazao.
SCIENCE NEVER LIE.
#YNWA
Ukanda wote wa njombe kushuka songea soil ph 4-5 kwa wastani na parachichi zinafanya vizuri kuliko eneo lolote tz hii. Mimi ni mkulima njombe, tunaweka samadi kama mbolea na kurekebisha ph. Unaposikia parachichi zinakubali au zinahitaji ph 5.5-6.5 haimaanishi kwenye ardhi below 5.5 au above 6.5 zitakufa au hazitazaa, hiyo inamaana possibility ya kupata best results/max harvest utapata kwenye ph range hiyo ikitegemea weather, other climatic conditions and farm management activities.Mbona mmekazana kusema shamba lina Acid nyingi mmelipima? Huwezi pima Soil pH kwa macho. Parachichi linahitaji pH ya 5-7,sa mmejuaje kuwa ni pungufu au zaidi ya hiyo? Labda km mmepima kwa uchawi
Safi mkuu. Nice explanation. Kuna watu hata hawajui Soil pH ni nini wanakimbilia kupotosha watu.Ukanda wote wa njombe kushuka songea soil ph 4-5 kwa wastani na parachichi zinafanya vizuri kuliko eneo lolote tz hii. Mimi ni mkulima njombe, tunaweka samadi kama mbolea na kurekebisha ph. Unaposikia parachichi zinakubali au zinahitaji ph 5.5-6.5 haimaanishi kwenye ardhi below 5.5 au above 6.5 zitakufa au hazitazaa, hiyo inamaana possibility ya kupata best results/max harvest utapata kwenye ph range hiyo ikitegemea weather, other climatic conditions and farm management activities.
Kuna aina nyingi za parachichi na zote zina mahitaji tofauti na nyingine na ndio maana rombo, ngara, burundi parachichi zinafanya vizuri sana lakini si kwa variety hass.
Kitu pekee cha kuhofia hapo ni magonjwa sugu, mchwa, changarawe na kingine japo sikupenda kuchangia kuharibu uzi wa watu ni moto. Inaonekana shamba lina historia ya moto
Ni kweliBado yapo mkuu?Nasikia barabara ya Ifakara-Mlimba itakapojengwa lupembe sio mbali.