Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha matunda aina ya parachichi au miti ya mbao yanauzwa

Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha matunda aina ya parachichi au miti ya mbao yanauzwa

Lipo kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe, wilaya ya njombe na mkoa wa njombe
Lina ukubwa wa eka 100
Bei ya kila eka ni TSH laki moja na nusu (150,000/=)
Kunafaa kwa kilimo Cha matunda Aina ya parachichi,miti ya mbao na mazao mengine
Kuna mto karibu
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024View attachment 1933728View attachment 1933730
Nikihitaji eka 10 naweza kupata!? Je, halina mgogoro? Linatambuliwa na wanakijiji? Lipo umbali kiasi gani kutoka njombe mjini.
 
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha matunda Aina ya parachichi au miti ya mbao na mazao mengine kama mahindi, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50

Lipo kijiji Cha lyalalo ktk kata ya matembwe wilayani njombe

Lina uwezekano mkubwa wa kulimwa kwa treckta

Kuna maji ya kutosha

Bei ni tsh laki tatu tu(300,000/=)kwa kila eka

Usafiri unafika mpaka shambani

Halina miinuko mikali

Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024

IMG_20211020_120253_013.jpg
IMG_20211020_120246_805.jpg
IMG_20211020_120031_963.jpg
 
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha matunda Aina ya parachichi au miti ya mbao na mazao mengine kama mahindi, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50

Lipo kijiji Cha lyalalo ktk kata ya matembwe wilayani njombe

Lina uwezekano mkubwa wa kulimwa kwa treckta

Kuna maji ya kutosha

Bei ni tsh laki tatu tu(300,000/=)kwa kila eka

Usafiri unafika mpaka shambani

Halina miinuko mikali

Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024
IMG_20211020_120031_963.jpg
IMG_20211020_120253_013.jpg
IMG_20211020_120246_805.jpg
 
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha matunda Aina ya parachichi au miti ya mbao na mazao mengine kama mahindi, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50

Lipo kijiji Cha lyalalo ktk kata ya matembwe wilayani Njombe

Lina uwezekano mkubwa wa kulimwa kwa treckta

Kuna maji ya kutosha

Bei ni tsh laki tatu tu (300,000/=)kwa kila eka

Usafiri unafika mpaka shambani

Halina miinuko mikali

Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024

IMG_20211020_120246_805.jpg
IMG_20211020_120031_963.jpg
IMG_20211020_120253_013.jpg
 
Linaonekana shamba zuri sana

Lakini mbona picha ya chanzo cha maji haipo
 
SHAMBA LA PARACHICHI LINAUZWA

lipo Kijiji Cha igombola ktk kata ya lupembe,wilaya ya njombe mkoani njombe.

Lina ukubwa wa eka 20 (ishirini tu)

Parachichi Zina mwaka mmoja Toka zipandwe

Shamba limekosa matunzo

Barabara inafikika kwa gari mpaka shambani

Limepakana na mto Kama unahitaji kilimo Cha kumwagilia

Bei ni TSH 450,000 kwa kila eka na linauzwa kwa eka zote ishirini kwa pamoja

Kwa masiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024 na Whatsapp 0764426929

View attachment 1846694View attachment 1846695View attachment 1846696View attachment 1846697View attachment 1846698View attachment 1846699

Bado lipo?
 
Ardhi mkoa haina thamani ,imagine ekari 20 tena na mazao eti bei ni milion 9?? Wakati milioni 9 dar unapata kiwanja kama kiganja cha mkono.
 
Unauza Dhahabu, Watu Wanasema Zao Hilo Ni Mkombozi
Unapiga Japo Robo Heka Ili Ionekane Kwa Wingi
 
Nataka nije niwekeze vanila huko nimestaafu hapa nina vijihela hapa. Angalizo msije nifanyia kama yule mwalimu mstaafu
 
Lipo kijiji Cha mfriga ,kata ya mfriga tarafa ya lupembe, wilaya ya njombe mkoani njombe
Lina ukubwa wa eka 20
Linauzwa tsh milioni kumi tu (10,000,000/=)
Lina miti Aina ya paina eka 2, Miche ya miparachichi 5 inayozaa mtunda
Kuna nyumba yenye vyumba vitano katikati ya shamba
Na eneo la eka 18 ni tupu
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0742188846 au 0784340024 au 0711605570 na Whatsapp 0764426929, usitume smg

IMG-20211115-WA0015.jpg
IMG-20211115-WA0011.jpg
IMG-20211115-WA0010.jpg
IMG-20211115-WA0013.jpg
 
Nataka nije niwekeze vanila huko nimestaafu hapa nina vijihela hapa. Angalizo msije nifanyia kama yule mwalimu mstaafu
Pata maarifa sahihi kuhusu zao la vanila na Hali ya hewa ya huko usemako..
 
Back
Top Bottom