Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

CCM wana watu wamesomea siasa mkuu.
Wameamua kuanzisha hiyo ligi maksudi ili wanasiasa wa vyama vingine wasiendelee na mambo yao ya siasa wawasikilize CCM kwamba wana mgogoro.
Na wamefanikiwa 100%
 
Nini maana ya maisha?
 
Nini maana ya maisha?
Hujui maana ya maisha kumbe? Simu yako Ina Google hebu jaribu kugoogle, usipoteze muda Kasome Katiba uielewe,kasome na Penal code uelewe acha kapoteza muda,sheria hujui, Katiba hujui
 
Niliwahi kusikia wakwer(l?)e wanatajwa sana. Magufuli alikuwa msukuma!!?
Wakwele walitajwa tu kwakua Rais alikua madarakani na lazma angejulikana kinaga ubaga Ila jakaya hakupata kufanya upendeleo huoo kwa wakwele wenzie yeye alithamini Sana watu aliochanga nao karata awe mpare mkindo mmatumbi aliwanufaisha na hoahao walitunufaisha sisi wenzi wao kwa hiyo wote tulipata tofauti aliochofanya jiwe alisahau ata waliomchangia karata nini kuchanga nao ......piaJk wala hakua mfedheheshaji Kama jiwe ufedheheshaji ni moja Kati ya ukatili mkubwa sana akifanyiwa mtu mzima.
 
Watetezi wa mungu mtu, dikteta, mnyanganyi asietaka kushaurika mwisho wa sku ubishi wake ukaondoka nae
mungu mtu wa hovyo kuwai kutokea ktk historia ya Tanzania

Rai yangu kwa Roman Catholic wasije mfanya mtakakifu km wanavyotaka mfanya Baba wa mataifa
 
Hakuna atakayemkashfu JPM na akabaki salama.
Kwa sababu wote tupo hapa hapa Tanzania, tutaona kwa macho yetu.
Maana Mungu huwa hadhihakiwi.
 
Mama anafufua uchumi na kukaribisha uwekezaji unasema hajafanya kitu??!
 
Hujui maana ya maisha kumbe? Simu yako Ina Google hebu jaribu kugoogle, usipoteze muda Kasome Katiba uielewe,kasome na Penal code uelewe acha kapoteza muda,sheria hujui, Katiba hujui
Wewe unayejua tujuze.
 
Tuna hasara kubwa sana kuwa na Watanzania kama wewe.

Kwa taarifa yako na wajinga (siyo tusi) wenzio, Magufuli siyo msukuma.
 
Magufuli alikufa katika hali ya neema ya utakaso, alipokea sakramenti zote kabla ya kifo chake; Wakatoliki hatuna wasiwasi yupo mbinguni. Na mchakato wa kumsimika rasmi mtakatifu upo underway.
 
Mama anafufua uchumi na kukaribisha uwekezaji unasema hajafanya kitu??!
Kwa mujibu wa data za World Bank; amekuta tupo uchumi wa kati, ameturudisha uchumi wa chini. Hakika definition yako ya kukuza uchumi inastaajabisha.
 
Wakenya wana katiba mbovu?
Baadhi ya watanzania wa kupuuza. Pamoja na mapungufu hapa na pale, katiba ya Kenya ya kupigiwa mfano- hasa kuhusu madaraka ya rais, mgawanyo wa madaraka pembe tatu za serikali, ugatuzu/serikali ya majimbo.
 
Tuna hasara kubwa sana kuwa na Watanzania kama wewe.

Kwa taarifa yako na wajinga (siyo tusi) wenzio, Magufuli siyo msukuma.
Mimi nakubali mjinga maana tushaambiwa elimu haina mwisho kwa hiyo hata wewe ni mjinga pia.....Ila jifunze nidhamu maana Ukienda kumwambia babako mjinga halafu ukamuaminisha sio tusi hata kuelewa...tulio wengi tunajua yeye ni msukuma Kama anakabila lake ndani ya huko usukumani kwake anajua yeye kama tulivyojua mwinyi ni mzanzibar na mwanae Leo ni Rais wa Zanzibar suala la yeye ni mzaramo tumeskia Kama tulivyosikia magufuli ni msukuma.....kandamizo langu juu yule bwana nielewe kuwa alikua mkabila na aliekosa utu.
 
Ndio machozi hayo yanakutoka.

Kweli una huruma kali
 
Na huu uzi unakaribia kuunganishwa na uleeee

Kudos Jamiiforums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…