Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana wakisha jiona wametoka nje ya Tanzania wanatuona watanganyika wote kama tunacheza.Nani kakuambia mimi ni masikini?
Unavyo andika mtu anaweza kufikiri wewe ni bonge la gaidiii, kumbe bonge la mshamba mwenyeji wa sitimbi ndani ndani huko,ambaye akisikia mngurumo wa gari anakimbilia ndani kwa kasi ya mwanga,ila akishika kiswaswadu na kuandika sasaaa........!!!!???Watakipata wanachokitafuta.
Yemen walishaapa, kwa namna yoyote Saudi Arabia ikiivamia au kuzuia mashambulizi yao wanayoyafanya kuzuia meli zinazoelekea Israel watarudisha mapigo!
Nipo pamoja na Yemen.
Mpuuzi mmoja huwa anaandika makorokocho sana!Hawa vijana wakisha jiona wametoka nje ya Tanzania wanatuona watanganyika wote kama tunacheza.
Huyu kijana hata CCM hawawezi kumuunga mkono.
Nimezaliwa Dar na nimekulia Dar ila...Unavyo andika mtu anaweza kufikiri wewe ni bonge la gaidiii, kumbe bonge la mshamba mwenyeji wa sitimbi ndani ndani huko,ambaye akisikia mngurumo wa gari anakimbilia ndani kwa kasi ya mwanga,ila akishika kiswaswadu na kuandika sasaaa........!!!!???
Kumbe hujui kitu wewe saudia sio taifa takatifu taifa miji mitakatifu ni makka na madina tu, huo ufalme wenyewe uliingia madarakni kwa kuipindua ufalme wa wakati huo saudia inaitwa hijazHakuna taifa la Kiislam lenye linaweza kurusha makombora Saudia, wana amini Saudia ni taifa takatifu kwao. Hata Iran akitaka kuipiga Saudia, atapiga visima vya mafuta nk, hawezi kupiga mji wowote
Kapige wewe basi , lasivyo kalale sasa maana unaota ovyo ovyo tu usije ukatujambia bure hapaKwani inakuwaje wapigane wao kwa wao maana kama wamelogwa kweli ubinadamu kazi pigeni marekani ndiyo kirusi cha dunia. Maana kila vita naye yupo.
Ripoti za awali zinaonyesha mashambulizi makali ya mizinga ya Saudia yakilenga Saada, eneo linalodhibitiwa na Ansar Allah kaskazini magharibi mwa Yemen.
Sambamba na hilo, ripoti zinaonyesha Baraza la Mpito la Kusini mwa UAE (STC) linaloungwa mkono na UAE limeanzisha mashambulizi ya kushtukiza katika eneo la kusini mwa Taiz. Mapigano makali yameripotiwa huko al-Janad, kusini magharibi mwa Yemen, na kuzidisha hali ambayo tayari ni tete nchini humo.
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1871320123811979398?t=dmKAXGGJiBxJ7Q17hpdY2A&s=09
Inaonekana JFHii habari haionekani popote
Ripoti za awali zinaonyesha mashambulizi makali ya mizinga ya Saudia yakilenga Saada, eneo linalodhibitiwa na Ansar Allah kaskazini magharibi mwa Yemen.
Sambamba na hilo, ripoti zinaonyesha Baraza la Mpito la Kusini mwa UAE (STC) linaloungwa mkono na UAE limeanzisha mashambulizi ya kushtukiza katika eneo la kusini mwa Taiz. Mapigano makali yameripotiwa huko al-Janad, kusini magharibi mwa Yemen, na kuzidisha hali ambayo tayari ni tete nchini humo.
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1871320123811979398?t=dmKAXGGJiBxJ7Q17hpdY2A&s=09
Mimi nilisha waeleza Saud Arabua na UAE lazima watamsaidia US na Israel. Viongozi wa kiarabu ndio madui wa nchi za kiarabu.
Makundi hayo ya kigaidi , yanachukiwa na mataifa yote ya Kiarabu kwa sababu yanadhoofisha Serikali za mataifa yao. Na hicho ndicho chanzo cha Iran kuchukiwa karibia na mataifa yote ya Mashariki ya kati.Watakipata wanachokitafuta.
Yemen walishaapa, kwa namna yoyote Saudi Arabia ikiivamia au kuzuia mashambulizi yao wanayoyafanya kuzuia meli zinazoelekea Israel watarudisha mapigo!
Nipo pamoja na Yemen.
US ndie kiranja wa dunia lazima awepo kila pahala kutoa dozi na miongozo,magaidi na dini yao ya kishenzi ndio ttzo.Kwani inakuwaje wapigane wao kwa wao maana kama wamelogwa kweli ubinadamu kazi pigeni marekani ndiyo kirusi cha dunia. Maana kila vita naye yupo.
Vipo kijijini🤣Hivyo visima vya mafuta vipo wapi ?
Umesoma ukiwa tayari umejipanga kwa ubishi. Nani kasema Saudia haipinduliki? Iran anaichukia Saudia hadi leo, akitaka kuipiga huaga hajaribu kupiga miji, anapigaga visima vya mafuta tu. Anyway, kuhusu miji "mitakatifu" ya Saudia, I know better than you think, nimewahi kuandika humu kwamba, nimefanya kazi Saudia kwenye kampuni moja kubwa la kimataifa, hiyo miji uliitaja kuna baadhi ya mitaa kama wewe sio Muislamu huruhusiwi kwenda kabisa. Tupo hapa, sio Houth wala Iran mwenye anaweza kuupiga mji wowote wa Saudia. Muda utaongeaKumbe hujui kitu wewe saudia sio taifa takatifu taifa miji mitakatifu ni makka na madina tu, huo ufalme wenyewe uliingia madarakni kwa kuipindua ufalme wa wakati huo saudia inaitwa hijaz
Huu ndio mwisho wa Houth kutawala Yemen Usifikir kwamba Saudia Yuko peke yake, huo ni mpango wa US, Israel na nchi za MAGHARIBI wakishindwa kumuondoa Houth mara hii basi wasahau daima.Watakipata wanachokitafuta.
Yemen walishaapa, kwa namna yoyote Saudi Arabia ikiivamia au kuzuia mashambulizi yao wanayoyafanya kuzuia meli zinazoelekea Israel watarudisha mapigo!
Nipo pamoja na Yemen.
Ripoti za awali zinaonyesha mashambulizi makali ya mizinga ya Saudia yakilenga Saada, eneo linalodhibitiwa na Ansar Allah kaskazini magharibi mwa Yemen.
Sambamba na hilo, ripoti zinaonyesha Baraza la Mpito la Kusini mwa UAE (STC) linaloungwa mkono na UAE limeanzisha mashambulizi ya kushtukiza katika eneo la kusini mwa Taiz. Mapigano makali yameripotiwa huko al-Janad, kusini magharibi mwa Yemen, na kuzidisha hali ambayo tayari ni tete nchini humo.
View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1871320123811979398?t=dmKAXGGJiBxJ7Q17hpdY2A&s=09
Waarabu haqana akili.Mimi nilisha waeleza Saud Arabua na UAE lazima watamsaidia US na Israel. Viongozi wa kiarabu ndio madui wa nchi za kiarabu.
Lakini mpaa mda hu sidhani Saud Arabia ataingia vita na Al Houthi anawajua hao ni balaa. UAE anaweza lakini akisha tandikwa Missiles 6 tu, atainua bendera.