Soma geography kidogo, wana njaa hata Tanga afadhali.l
Lakini hapohapo wanataka kupigana vita na Us huku Zirael kipigo mara 2 tu hawana hamu.
Muisrael bado kawaweka kiporo yuko Lebanon na Iran hadi Syria na dozi ya Gaza iko palepale.
Ndo mana nilisema ubongo wenu nyie kijiko haujai.
Alahu akibaru, alahu akibaru mmeshiba urojo mnaenda na vibomu vyenu uchwara kuvizia meli zinapita hapo tu Panama Canal.
Meli ina ndege vita 500,submarine 100,makombora zaidi ya 1000 huku na hizo drone mnatumia wao ndo kwanza wanatengeneza kila siku km popcorn.
Hapo wanaenda kuchokoza nchi za watu.
Muisrael kipigo kimoja tu ataua kila kitu.kawaacha wajifariji maana ana kazi nyingi za kufanya huko middle east.
Ndo mana Marekani kawatwanga kidogo wapoe.
Muisrael akija atavunja kila kitu.