Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii wanasema ni feki hatii
Hao ni wale mbwa wanaobwekea ndani ya geti, geti likifunguliwa wanakimbilia uvunguni.Wana JF
Mipango mikakati ya viongozi wakuu wakionyesha kuwa Makonda kawahi sana na ana tamaa ya vyeo vya juu wakati angali kijanam na wengine wakasema kuwa watoto wa miaka fulani wana tamaa mbaya, kumbe hiyo ni danganya toto ya kutufanya vipofu kuwa yametimia mwana wa mfalme kabigwa chini. Toka figisu za kuanza kutia nia watu wengi waliamsha popo kuwa huyu lazima akatwe kwani watia nia wote mbali na kuomba ruhusa wote wametumbuliwa
Makonda ni mwaminifu kwa mtu fulani ambaye kwa vyovyote vile hawezi kumuacha kwa giliba za watanzania, kwani anaoonekana kufanya kazi anazotumwa kwa usahihi. Lakini huyu ni miongoni mwa vijana wenye kiburi kushinda wote tanzania ambaye viongozi wengi hawampendi kabisa. Hiyo haimzuii kwa kuwa kiongozi wao mkuu anamtaka kwa udi na uvumba. Kitendo cha kuacha cheo kikubwa kwenda kugombea ubunge kimekaa kimkakati sana ndio maama makatibu wakuu walikuwa wakimsema sana hili aonekana hawajamtuma anajipigania mwenyewe.