Masharti 20 ya kuwa mwanamme!

Masharti 20 ya kuwa mwanamme!

Wakuu, nadhani sote tuliopo humu tunajua kwamba binadamu anahitaji mwongozo ili kuwa bora zaidi.

Hatuko duniani kwa ajili ya kuishi ishi tu, ndiyo maana tuna sheria na kanuni kama ambavyo Mungu alivyotuwekea Amri zake 10.

Kwa kuwa, sisi wanamme tuna nafasi kubwa ya kufanya dunia iwe sehemu salama, kuna umuhimu ya kufuata masharti ya wanamme.

Masharti 20 ya kuwa mwanamme!

1. Daima shika neno lako - ikiwa unatoa ahadi, itimize.

2. Waheshimu wanawake - watendee kwa utu na heshima.

3. Zingatia mwonekano wako - vaa ipasavyo na dumisha usafi wako.

4. Kuwa mwaminifu - usidanganye au kudanganywa na wengine.

5. Onesha heshima kwa wazee - sikiliza ushauri na mwongozo wao.

6. Kuwa wa kuaminika - simama na marafiki na familia yako.

7. Wajibika - shughulikia matendo yako na matokeo yake.

8. Jitegemee - jifunze kujitunza mwenyewe.

9. Samehe - kuwa na kinyongo kwa muda mrefu kunakuumiza tu mwenyewe.

10. Kuwa mnyenyekevu - usijisifu au kujisifu juu ya mafanikio yako.

11. Kuwa na subira - mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.

12. Usiwe mnyanyasaji - watendee wengine kwa wema na huruma.

13. Kuwa msikilizaji mzuri - makinika na wanachosema wengine.

14. Kuwa mzungumzaji mzuri - jieleze kwa uwazi na kwa ufanisi.

15. Jiamini - jiamini mwenyewe na uwezo wako.

16. Tenda kwa uadilifu - fanya jambo sahihi, hata kama hakuna mtu anayekutazama.

17. Kuwa na nidhamu - kujidhibiti na kuzingatia malengo yako.

18. Onesha shukrani - thamini watu na vitu vilivyokuzunguka katika maisha yako.

19. Kuwa wa mawazo huru - pokea mitazamo na mawazo tofauti.

20. Kuwa mwanafunzi wa maisha yote - usiache kukua na kujiboresha.

Ova
Yes,
huyo ndie mwanamume kamili
 
Wakuu, nadhani sote tuliopo humu tunajua kwamba binadamu anahitaji mwongozo ili kuwa bora zaidi.

Hatuko duniani kwa ajili ya kuishi ishi tu, ndiyo maana tuna sheria na kanuni kama ambavyo Mungu alivyotuwekea Amri zake 10.

Kwa kuwa, sisi wanamme tuna nafasi kubwa ya kufanya dunia iwe sehemu salama, kuna umuhimu ya kufuata masharti ya wanamme.

Masharti 20 ya kuwa mwanamme!

1. Daima shika neno lako - ikiwa unatoa ahadi, itimize.

2. Waheshimu wanawake - watendee kwa utu na heshima.

3. Zingatia mwonekano wako - vaa ipasavyo na dumisha usafi wako.

4. Kuwa mwaminifu - usidanganye au kudanganywa na wengine.

5. Onesha heshima kwa wazee - sikiliza ushauri na mwongozo wao.

6. Kuwa wa kuaminika - simama na marafiki na familia yako.

7. Wajibika - shughulikia matendo yako na matokeo yake.

8. Jitegemee - jifunze kujitunza mwenyewe.

9. Samehe - kuwa na kinyongo kwa muda mrefu kunakuumiza tu mwenyewe.

10. Kuwa mnyenyekevu - usijisifu au kujisifu juu ya mafanikio yako.

11. Kuwa na subira - mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.

12. Usiwe mnyanyasaji - watendee wengine kwa wema na huruma.

13. Kuwa msikilizaji mzuri - makinika na wanachosema wengine.

14. Kuwa mzungumzaji mzuri - jieleze kwa uwazi na kwa ufanisi.

15. Jiamini - jiamini mwenyewe na uwezo wako.

16. Tenda kwa uadilifu - fanya jambo sahihi, hata kama hakuna mtu anayekutazama.

17. Kuwa na nidhamu - kujidhibiti na kuzingatia malengo yako.

18. Onesha shukrani - thamini watu na vitu vilivyokuzunguka katika maisha yako.

19. Kuwa wa mawazo huru - pokea mitazamo na mawazo tofauti.

20. Kuwa mwanafunzi wa maisha yote - usiache kukua na kujiboresha.

Ova
Nahisi ninazo zote 😂😂
 
Wakuu, nadhani sote tuliopo humu tunajua kwamba binadamu anahitaji mwongozo ili kuwa bora zaidi.

Hatuko duniani kwa ajili ya kuishi ishi tu, ndiyo maana tuna sheria na kanuni kama ambavyo Mungu alivyotuwekea Amri zake 10.

Kwa kuwa, sisi wanamme tuna nafasi kubwa ya kufanya dunia iwe sehemu salama, kuna umuhimu ya kufuata masharti ya wanamme.

Masharti 20 ya kuwa mwanamme!

1. Daima shika neno lako - ikiwa unatoa ahadi, itimize.

2. Waheshimu wanawake - watendee kwa utu na heshima.

3. Zingatia mwonekano wako - vaa ipasavyo na dumisha usafi wako.

4. Kuwa mwaminifu - usidanganye au kudanganywa na wengine.

5. Onesha heshima kwa wazee - sikiliza ushauri na mwongozo wao.

6. Kuwa wa kuaminika - simama na marafiki na familia yako.

7. Wajibika - shughulikia matendo yako na matokeo yake.

8. Jitegemee - jifunze kujitunza mwenyewe.

9. Samehe - kuwa na kinyongo kwa muda mrefu kunakuumiza tu mwenyewe.

10. Kuwa mnyenyekevu - usijisifu au kujisifu juu ya mafanikio yako.

11. Kuwa na subira - mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.

12. Usiwe mnyanyasaji - watendee wengine kwa wema na huruma.

13. Kuwa msikilizaji mzuri - makinika na wanachosema wengine.

14. Kuwa mzungumzaji mzuri - jieleze kwa uwazi na kwa ufanisi.

15. Jiamini - jiamini mwenyewe na uwezo wako.

16. Tenda kwa uadilifu - fanya jambo sahihi, hata kama hakuna mtu anayekutazama.

17. Kuwa na nidhamu - kujidhibiti na kuzingatia malengo yako.

18. Onesha shukrani - thamini watu na vitu vilivyokuzunguka katika maisha yako.

19. Kuwa wa mawazo huru - pokea mitazamo na mawazo tofauti.

20. Kuwa mwanafunzi wa maisha yote - usiache kukua na kujiboresha.

Ova

21. Yatunze marinda yako usikubali kuchezewa!!


Siyo kama hawa wanawake toleo la pili [mention]Ritz [/mention] na [mention]CityHunter1 [/mention]
 
Sasa mtuhujaishi nae lakini unasema sifazote hizo anazo na unataka utoe dadako juu.

huyojamaa nimzizi ilitakiwa akuoe au nyie nisogea tuishi family?
Huhitaji kuishi na mtu ndipo umjue Mkuu, tuna zaidi ya miaka 7 mapenzini nahitaji nini zaidi kumjua?

Hatujasogezana, kila mtu yuko kwake tuna adabu na heshima sie.
 
miaka saba😕
nyie hampendani bali mnatumiana kupunguza nyege tuu.
ukipata mwenza unae mpenda humalizi nusu mwaka ndoa ishafungwa ilanyie mhhh

kwahio miakasaba hamja zini bado?au zinaa kwenu ruhsa?
Mkuu, mambo mengine huwezi kuamini ila fahamu kwamba kwetu hilo hakuna (zinaa)

Ila, maisha ni vile unavyoyapanga wewe yawe.

Yote hayo yatatimia kwa mipango yetu.
 
Mkuu, mambo mengine huwezi kuamini ila fahamu kwamba kwetu hilo hakuna (zinaa)

Ila, maisha ni vile unavyoyapanga wewe yawe.

Yote hayo yatatimia kwa mipango yetu.
Mkuu,ndio maana tuko wachache ,mie nakuelewa vzr sana na sina hofu usemacho na uwepo wako
 
Back
Top Bottom