Masharti nafuu tunayopewa na China

Masharti nafuu tunayopewa na China

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Wakuu habari:

Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu.

Swali langu ambalo natamani kila Mtanzania ajiongeze na aweze kufikiria nje ya box je mkopo wa masharti nafuu ukoje je masharti nafuu ni yapi?

Mara nyingi tumesikia kauli kuwa hatutaki mikopo ya mataifa ya kibepari yenye masharti magumu. Je, ugumu wa masharti yao unakuja vipi?

Je, urahisi upi huo tunaoupata kutoka China?

Je, Marekani ikitaka kukupa mkopo huwa inazingatia vigezo gani kukupa mkopo?


Nawasilisha

falcon mombasa
 
China ni marafiki zetu wa enzi na enzi na kwa sasa wanajitanua zaidi duniani na wanaoushawishi mkubwa kuliko USA. Hawanaga kazi mbovu
Wakuu habari:

Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu...
 
Masharti yenyewe nafuu toka kwa mchina ni hayo hapo:-

"Tunakupatia pesa yetu tuliyoipata kwa kuwanyonga raia wetu,mnaruhusiwa kuuana,kutekana,kuwekana magerezani,kuiba kura Ila hakikisheni mkopo huu unarudishwa kwa wakati.tuliopanga"
 
Wakuu habari:

Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu.

Swali langu ambalo natamani kila mtanzania ajiongeze na aweze kufikiria nje ya box je mkopo wa masharti nafuu ukoje je masharti nafuu ni yapi?...


Ungetuambia huyo aliyesema amepata masharti nafuu, pengine tungeangalia hayo masharti. Kumbuka JPM wakati wa awamu ya 5 alichukua mkopo kutoka India kwa masharti nafuu. India wana reserve kubwa ya forex na walikubali kuweka riba ya chini kidogo. Sina details lakini kumbuka Waziri mkuu wa India alitembelea Tanzania wakati ule.
 
Democrasia, Utawala bora, Uhuru wa habari, haki za binadamu, nk hayo ndo masharti magumu ya Marekani ambayo ccm hawayataki
Kwahiyo Marekani haikupi mkopo ikiwa hujakidhi vigezo hivyo?
 
Back
Top Bottom