MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Makamu wa Raisi hata akitoka upinzani ni kazi bure tu, mfano halisi uko hapo Zanzibar. BTW Makamu wa Raisi hana majukumu yoyote nyeti zaidi ya kusubiri Rais aliyepo madarakani afariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, mimi na sisiem wapi na wapi;CCM msianze leta janja janja kutafuta pakutokea.... 2025 Samia anarudi Oman.
Kwa itavokuwa mkuu" ni nchi kuwa na mwelekeo!sasa itakuwaje ?
Ukija itwa umbwa pale ulipo usije gombanaHaya nimekaa pale 2025 unissued.
Ikiwa kweli litakuwa jambo jema ! Siasa sio uadui ! Sote tu watanzania !!Asanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.
Tulikuwa watoto mpaka tunataka kuzeeka, hatujawahi kuona nafuu ya maisha chini ya serikali inayoongozwa na ccm miaka zaidi ya 60.
Maji tu yamewashinda, umeme ndo usiseme, suala la afya ni jambo la anasa kwetu, ukiuumwa na huna pesa, hata kama ulikuwa ni wa kupona, ndo basi tena, hata ukipona, bili yake mtaichanga ukoo mzima na mtadaiwa bado".
Shule zetu sasa, mtoto anaingia shule hajui kusoma na kuandika, anasoma miaka saba anarudi hajui kusoma na kuandika, hii ndio ccm.
Kwa aina ya mkopo huu; walau watanzania twaweza anza kuuona mwezi na mambo yakaenda sawa!
Hatujafika popote, mengi yatakuja na chahwa wa ccm watabaki waziAsanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.
Tulikuwa watoto mpaka tunataka kuzeeka, hatujawahi kuona nafuu ya maisha chini ya serikali inayoongozwa na ccm miaka zaidi ya 60.
Maji tu yamewashinda, umeme ndo usiseme, suala la afya ni jambo la anasa kwetu, ukiuumwa na huna pesa, hata kama ulikuwa ni wa kupona, ndo basi tena, hata ukipona, bili yake mtaichanga ukoo mzima na mtadaiwa bado".
Shule zetu sasa, mtoto anaingia shule hajui kusoma na kuandika, anasoma miaka saba anarudi hajui kusoma na kuandika, hii ndio ccm.
Kwa aina ya mkopo huu; walau watanzania twaweza anza kuuona mwezi na mambo yakaenda sawa!
Kweli kabisa !!Wenye dunia yao wakiamua mbona hilo linawezekana.
Hata wakitaka Congo iwe na amani ni dk ziro tu, wanambinya kibaraka wao tu
Duh !Hapo hawatoweza nunulia bus, maroli au dhamini timu zao za mpira kwa kodi zetu
Hakuna kinachoota hewani mkuu!Kuna mazwazwa kwa uzwazwa wao na kwa msaada wa tetesi za aina wataona sasa ndio wakati umefika.
Najua hizi ni porojo tu. Lakini hata Kama itakuwa kweli wakati wa kurekebisha KATIBA iendane na hayo matakwa ya beberu, watarekebisha na kipengele cha mrithi wa Rais ili mpinzani asinuse kitu.Makamo akitoka upinzani chapu beberu anaua raisi ili makamu awe raisi na kuvuruga mifumo ya nchi.
Ila kuna upinzani na hata hivyo huyo rais hawezi kuwa na confidence kama akiwa yeye bila mpinzani!Huyo makamu rais atazui nn kisifanywe na rais hata Zanzibar tu Yuko makamu kutoka upiznani ila Hana sauti wa mamlaka za kufuta mtu kazi au kumuajibisha uzembe Yuko Yuko tu kutetea tumbo lake na wanawe wapate elimu nnje
Haiwezi kuwa kweli! Na hatutaki mikopo ya masharti ya kuingilia uhuru wetu.Asanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.
Ina maana sasa hivi hauwachukii mabeberu?Ngumu kumeza.
Kwa deni la taifa lilipofikia, serikali ijiandae kuchezeshwa kwata na mabeberu. Sasa hivi tunafurahia mikopo ila itafika wakati serikali itachezeshwa kwata hadi tuwachukie mabeberu.