the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Mkuu hutaki kabisa hayo mambo?πMwenye nyumba aliniuliza wewe ni dini gan
Hapo hapo nilimwambia kwaheri mama na ushungi wako mwekundu
Hii nchi ni ya kumuuliza mtu wewe dini gan ili iweje ufanyaje au una mapepo au una misukule ndan mwako?
Then nikapita hivi arifu
Mkuu wewe ulikuwa unataka kurudi saa ngapi?Mwisho wa kurudi saa nne na marufuku kuja umelewa, 2007 hiyo!
Kupangiwa idadi na jinsia ya wageniWakuu salama?
Leo kwenye pita pita zangu nikakutana na watu wanalalamika masharti ni mengi sana kwenye nyumba waliyotaka kuhamia na hivyo ikawapalekea kutokulipa kodi kutokana na mashrti kuwa mengi.
Masharti gani wewe ulikutana nayo ukaghairi kupanga nyumba hiyo?
Ukaacha kodi Mshangazi?Eti baba mwenye nyumba ni lazima nimpe namba yangu.
Nikahama kesho yake
Kipindi hicho mi ni mlevi na walevi kurudi huwa nikuanzia saa sita usikuMkuu wewe ulikuwa unataka kurudi saa ngapi?
Sitaki kabisa utamuulizaje mtu wewe ni dini gani? Kwani Tanzania sisi weusi tuna dini ngapi maana usipokuwa mwisilam lazima utakuwa mkristo sasa kuna haja gani tena ya kumuuliza mtu dini yake wakati asipokuwa mkristo bas ni mwisilamMkuu hutaki kabisa hayo mambo?π
Hiyo kweli inakuwaga miyeyusho, mtu hauwi comfotable na wageni wako haswa vyumba vikiwa vya ndani ndiyo jau kabisaKupangiwa idadi na jinsia ya wageni
Njoo Uishi Kwangu Miezi 6(Warranty Hospitality),,bila Kodi alafu Ukiridhika Ndio Tunaingia Kwenye Mkataba Sasa,,kama hutojali Bibie.Eti baba mwenye nyumba ni lazima nimpe namba yangu.
Nikahama kesho yake
Kwahiyo mkuu wewe ukiwa na wapangaji sharti gani hutoliweka?Sitaki kabisa utamuulizaje mtu wewe ni dini gani? Kwani Tanzania sisi weusi tuna dini ngapi maana usipokuwa mwisilam lazima utakuwa mkristo sasa kuna haja gani tena ya kumuuliza mtu dini yake wakati asipokuwa mkristo bas ni mwisilam
Mods unganisha huu Uzi kwenye ule Uzi wa mshana jr.Wakuu salama?
Leo kwenye pita pita zangu nikakutana na watu wanalalamika masharti ni mengi sana kwenye nyumba waliyotaka kuhamia na hivyo ikawapalekea kutokulipa kodi kutokana na mashrti kuwa mengi.
Masharti gani wewe ulikutana nayo ukaghairi kupanga nyumba hiyo?
Kwenda chooni mara moja Marufuku kucheka usiku Marufuku kula pilau, marafuku kitanda kulia Lia uskuWakuu salama?
Leo kwenye pita pita zangu nikakutana na watu wanalalamika masharti ni mengi sana kwenye nyumba waliyotaka kuhamia na hivyo ikawapalekea kutokulipa kodi kutokana na mashrti kuwa mengi.
Masharti gani wewe ulikutana nayo ukaghairi kupanga nyumba hiyo?
Mwenye nyumba hakuwa na kazi?Mi niliingia kabisa...ila kuona mwenye nyumba kilasiku kuja kupiga story kwangu...nikaona eenhee
Nishazoea upweke...hata nikiwa na wanangu wanajua sipendi kelele....kulala na mtu kitanda kimoja huku tumekumbatia kwangu mtihani...
Afu nifanye kazi ya kumsikiliza mtu umbea wake from A to Z....aweee π₯΄π
Jamani,mi sitaki kelele hata wanafunzi wangu wanajua hilo...kelele sitaki.π