Masharti yapi ulikutana nayo kwenye Nyumba ya kupanga ukaghairi kulipa kodi?

Masharti yapi ulikutana nayo kwenye Nyumba ya kupanga ukaghairi kulipa kodi?

Mi niliingia kabisa...ila kuona mwenye nyumba kilasiku kuja kupiga story kwangu...nikaona eenhee
Nishazoea upweke...hata nikiwa na wanangu wanajua sipendi kelele....kulala na mtu kitanda kimoja huku tumekumbatia kwangu mtihani...
Afu nifanye kazi ya kumsikiliza mtu umbea wake from A to Z....aweee 🥴🙌

Jamani,mi sitaki kelele hata wanafunzi wangu wanajua hilo...kelele sitaki.😔
Hata mimi kuongeleshwa na mtu ama kujenga mazoea sipendi.
 
2012 my first ghetto ever! Nilisafiri mara napigiwa simu "kumbe upo naskia mziki" nikamwambia jamaa angu mbona sipo naomba ukagonge uniambie nani, kumbe mwnye nyumba kapoa geto anakula saundi kawasha na feni! Kumpigia kwa jazba kwann unaingia chumban kwang bila ruhusa mana alitumia funguo za ziada vyumba vyote anazo linajibu "nimejipumzisha tu miyee kwan kuntabuuu" ni jitu la pwani nilivorud nika pack vyangu!
 
2012 my first ghetto ever! Nilisafiri mara napigiwa simu "kumbe upo naskia mziki" nikamwambia jamaa angu mbona sipo naomba ukagonge uniambie nani, kumbe mwnye nyumba kapoa geto anakula saundi kawasha na feni! Kumpigia kwa jazba kwann unaingia chumban kwang bila ruhusa mana alitumia funguo za ziada vyumba vyote anazo linajibu "nimejipumzisha tu miyee kwan kuntabuuu" ni jitu la pwani nilivorud nika pack vyangu!
😂😂 🙌 Hii kali
 
Back
Top Bottom