the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
- Thread starter
- #21
Ulitaka uwe zako free tu au sio?Muda wa kuingia na kutoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka uwe zako free tu au sio?Muda wa kuingia na kutoka
Ndiyo,kazi yake ni kuchungulia kama umerudi toka job ili abebe ukili wake aje apige story...si vibaya lakini kilasiku mtu unaongea tu...weee 🤒Mwenye nyumba hakuwa na kazi?
Hahhha wewe unakuwa msikilizaji mpaka unashindwa kujua uchangie kipiNdiyo,kazi yake ni kuchungulia kama umerudi toka job ili abebe ukili wake aje apige story...si vibaya lakini kilasiku mtu unaongea tu...weee 🤒
Mh,jaman
Mkuu mbona ghafla sana hahah
Pitia huu Uzi una page 71 yaan utastaajabu matukio na vimbwanga vya nyumba za KUPANGA...Hahhha wewe unakuwa msikilizaji mpaka unashindwa kujua uchangie kipi
Mambo vp mdogo angu 😊 upo powaaaMuda wa kuingia na kutoka
🤣🤣🤣Nikaona hii shida sasaHahhha wewe unakuwa msikilizaji mpaka unashindwa kujua uchangie kipi
Hapa nadhani unatania na kuchangamsha genge mkuu.Eti baba mwenye nyumba ni lazima nimpe namba yangu.
Nikahama kesho yake
Alikuelekeza pa kupikia sasa au ili mradi kukataza tu?Mm Mama Mwenye nyumba alikuwa hataki Upike kwenye nyumba yake
ukija mjini nakupangishia bila kodi binti yanguMi niliingia kabisa...ila kuona mwenye nyumba kilasiku kuja kupiga story kwangu...nikaona eenhee
Nishazoea upweke...hata nikiwa na wanangu wanajua sipendi kelele....kulala na mtu kitanda kimoja huku tumekumbatia kwangu mtihani...
Afu nifanye kazi ya kumsikiliza mtu umbea wake from A to Z....aweee 🥴🙌
Jamani,mi sitaki kelele hata wanafunzi wangu wanajua hilo...kelele sitaki.😔
Alikuwa ana mgahawa,Altaka tumchangie chakula chakeAlikuelekeza pa kupikia sasa au ili mradi kukataza tu?
🤣🤣🤣Wewe unaweza niacha stand ya magufuli pekeyangu....unaaminika kweli?🤣🙌ukija mjini nakupangishia bila kodi binti yangu
Kuna nyumba Mlalakuwa mwenye Nyumba akasema Chumba nimekukodisha wewe sitaki masela au demu...chumba n kwa ajili ya ww mtu mmojaWakuu salama?
Leo kwenye pita pita zangu nikakutana na watu wanalalamika masharti ni mengi sana kwenye nyumba waliyotaka kuhamia na hivyo ikawapalekea kutokulipa kodi kutokana na mashrti kuwa mengi.
Masharti gani wewe ulikutana nayo ukaghairi kupanga nyumba hiyo?
Na nitakuja kweli,ila kukupata sasa baba☹️ukija mjini nakupangishia bila kodi binti yangu