Masharti yapi ulikutana nayo kwenye Nyumba ya kupanga ukaghairi kulipa kodi?

Hata mimi kuongeleshwa na mtu ama kujenga mazoea sipendi.
 
2012 my first ghetto ever! Nilisafiri mara napigiwa simu "kumbe upo naskia mziki" nikamwambia jamaa angu mbona sipo naomba ukagonge uniambie nani, kumbe mwnye nyumba kapoa geto anakula saundi kawasha na feni! Kumpigia kwa jazba kwann unaingia chumban kwang bila ruhusa mana alitumia funguo za ziada vyumba vyote anazo linajibu "nimejipumzisha tu miyee kwan kuntabuuu" ni jitu la pwani nilivorud nika pack vyangu!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ™Œ Hii kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…