jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
BAADA YA AMINA KUHISI TUMBO LINAMUUMA
Amina:doctor tumbo linaniuma sana tangu jana
Doctor:jana ulikula nini kabla ya tumbo kuanza kuuma?
Amina:nilikula pizza,baga,chips kuku na soseji doctor.
Doctor:sema ukweli dada,hapa ni hospitali sio instagram,facebook wala watsap.!!
Amina:nilikula ugali maharage na maparachichi.
Amina:doctor tumbo linaniuma sana tangu jana
Doctor:jana ulikula nini kabla ya tumbo kuanza kuuma?
Amina:nilikula pizza,baga,chips kuku na soseji doctor.
Doctor:sema ukweli dada,hapa ni hospitali sio instagram,facebook wala watsap.!!
Amina:nilikula ugali maharage na maparachichi.