jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Sina mbavu! hahahahaha..🙂🙂🙂...utumwa mbaya sana aise, haijalishi umetawaliwa na nani, nasikia hata wa-AfricanCaribeans wengi wanajiona nusu wazungu nusu waafrika! Basi balaa, kama wapemba/waunguja machotara! Sisi wabantu original wanatuona kama nyani kabisa..hahaha daah ila mkuu umenifurahisha sana. hili ni swali nililojiulizaga siku nyingi sana. Ukweli ni Kwamba waislamu wengi hasa wenye dini sana huwa wanatamani kuwa waarabu. yaani anatamani sana huwa wanajuta hata kuwa weusi maskini