Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Mariamu mama wa Yesu kama kweli unayachunguza maandiko unadhani inakadiriwa alimzaa Yesu akiwa na umri gani?
Pedophile Nyenyere Mary alikuwa full matured kwa kuangalia alivyo communicate na Gabriel hakuna mtoto anaweza ongea Kwa kujiamini vile ,

Ukitaka kujua viumbe tofauti na binadamu vinaogofya

Angalia kisa Cha pedophile Muhammad 50yrs+ alivyodai katokewa na jibril alivyo toka nduki akitetema kwa nderemo na kuweweseka

Mwisho wa siku hakuna andiko litawatetea ma child molester
 
Nimewauliza wenye akili timamu, sio mataahira.
 
Hoja yako ni nzuri sana, lakini mwanamke kuzaa akiwa na umri wa miaka 20, ni hatari kupata magonjwa na matatizo mengi wakati wa mimba na kujifungua. Pia akizaa na umri zaidi ya miaka 35, napo ni shida vile vile.
 
Hoja yako ni nzuri sana, lakini mwanamke kuzaa akiwa na umri wa miaka 20, ni hatari kupata magonjwa na matatizo mengi wakati wa mimba na kujifungua. Pia akizaa na umri zaidi ya miaka 35, napo ni shida vile vile.
Mkuu, nadhani kwenye "umri wa miaka 20" umefanya typing error. Leo nimeona takwimu za wanawake jinsi wanavyozaa katika umri mbalimbali. Hili linafikirisha sana hasa ukizingatia sheria ya kisasa inasema nini na uhalisia. Mabinti wengi wanapotimia miaka 18 huwa ni makahaba kamili, tupende tusipende. Shule na vyuo vinegeuka madanguro, sio taasisi za malezi. Soma hizi takwimu;



Hapo haijaongelea waliojihusisha na mapenzi, waliotoa mimba nk.
 
P. Nyenyere katika u child molester wako
 
Mi nimeongelea risk ya kupata magonjwa, siyo idadi ya mimba. Mtu ili awe na uzazi salama, bila kupata risk ya matatizo ya uzazi/au kujifungua, umri mzuri wa kujifungua ni kati ya miaka 20 hadi 35.
 
Mi nimeongelea risk ya kupata magonjwa, siyo idadi ya mimba. Mtu ili awe na uzazi salama, bila kupata risk ya matatizo ya uzazi/au kujifungua, umri mzuri wa kujifungua ni kati ya miaka 20 hadi 35.
Lete takwimu mkuú
 
Unaweza kuniambia kwa nini mataifa yaliyoendelea yenye mifumo bora ya afya hayaoni hiyo "risk ya afya" kiasi cha kuruhusu ndoa za Jumuiya chini ya miaka 20? Hiyo elimu unayoitumia imetoka huko huko, kuna tatizo gani? Angalia hizi takwimu za UN:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…