Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Kuna umri wa kuolewa na pana umri wa kuanza kuingiliwa. Unaweza ukaolewa huku ukisubiria umri wa kuingiliwa ufike. Jamii za wafugaji watoto wadogo walikuwa wanaolewa kabla ya ujio wa shule
 
We're jamaaa!!!!!!!!!......
Ni kweli Kila andiko Lina pumzi ya Mungu.
Ni kweli Kila andiko lafaa kujifunza.
Lakini kwani kujifunza ni kuiga life style za watu wanaotajwa kwenye hayo mafundisho??
Binafsi nafikiri , kujifunza ni kutambua strength na weakness za hao waliotajwa kwenye mafundisho, Kisha kufanya maamuzi sahihi yanayompendeza Mungu na yenye ustawi kwa jamii.
Hata hivo hatujaambiwa kwamba Kila kiiiiitu walichofanya Hawa role models wetu kwamba kilikuwa sahihi mbele za Mungu!!
Kwa mifano imeandikwa:-
Kaini alimuua Abel, na sisi tuuue?
Mfalme Daudi alipora mke wa Askari wake Kisha kumuua mwenye mke, na ss tufanye hivo??
Hosea alioa mwanamke kahaba, na sisi tuoe makahaba?
Na mingine chungu nzima.
Ajabu Sana kusikia mtu anasema kwa mfano 'Suleiman alioa wake elfu moja, lakini hasemi outcomes ya Suleiman kuoa idadi hiyo ya wake ambayo pia imeandikwa..
Ndugu, imekupasa kujifunza neno la Mungu. Kwa andiko lako unaonekana wewe ni bendera fuata upepo kama walivyo Wakristo wengi wa zama zetu.

Tukisema kila andiko LENYE PUMZI YA MUNGU tunamaanisha nini? Hebu soma tena bandiko lako ujishanhae hiyo mifano yako. Kaini kumuua Abeli ni andiko Mungu alibariki? Daudi kumuua ulia Mungu alibariki? Vipi kuhusu Hosea kuoa kahaba, hukusoma kama ilikuwa prophetic? Nimesema sana, Biblia sio aya za kukariri, you have to meditate on the word.

Kuhusu mabinti kuolewa wakivunja ungo, huoni ni Mungu mwenyewe ameweka mfano? Wewe ni nani kumjadili Mungu uamue kilicho bora!!? You are but flesh!! Adam na Hawa walifanya ujinga huu bustanini nawe wajua matokeo yake.

Leo ninakufundisha kweli ya maandiko, hakuna mahali Mungu alisema tuige lifestyle ya mtu, kwani hata hao waliosifiwa waliishi SAWA SAWA na neno la Mungu. Imetupasa kulishika neno, kwani ndilo uzima wetu. Acha kabisa tabia ya kuchuja neno la Mungu kwa jinsi unavyotaka, tabia hii ndio imeleta mkanganyiko kwenye mwili wa Kristo.

Nakupa challenge, nionyeshe ni kwa jinsi gani binti akiolewa baada ya kupindukia miaka 18 atakuwa mke bora nami nitakuonyesha KWA MFANO jinsi gani mabinti wakiolewa mapema wanakuwa wake bora sawasawa na maandiko.
 
Siwezi kubishana na mjinga mmoja asiyejenga hoja. Wewe huna uliloandika hapa zaidi ya tuhuma za kipuuzi. JF ni kwa asili ya GREAT THINKERS, not an arena for little boys. Andika hoja kama unayo, otherwise nenda katunge hiyo sheria unayolilia. Disgusting
Mtu husie Jua katiba ya nchi na Sheria ya ndoa , sina mda wa kupoteza na wewe , wewe ni pedophile na ma pedophile yakiingiaga anga zangu huwa najua Cha kuwafanya
 
Mtu husie Jua katiba ya nchi na Sheria ya ndoa , sina mda wa kupoteza na wewe , wewe ni pedophile na ma pedophile yakiingiaga anga zangu huwa najua Cha kuwafanya
Ungekuwa unajua katiba usingeandika ujinga huu. You make yourself in public.
 
Mtoto anaoaje na kuolewa?
Mtoto ni nani? Habu eleza maana ya mtoto. Kwa mujibu wa Oxford dictionary ni mwanadamu chini ya umri wa balehe au chini ya umri wa kisheria wa wengi.
IMG_20230408_023055.jpg
 
Ungekuwa unajua katiba usingeandika ujinga huu. You make yourself in public.
Pedophile Nyenyere ulisema Katiba ya nchi imetaja umri wa kuolewa

Ndio nimekwambia pedophile ni ukichaa ila tutawanyoosha tu Yani kwa sasa mmekuwa kama mashoga mnajitangaza wazi
 
Pedophile Nyenyere ulisema Katiba ya nchi imetaja umri wa kuolewa

Ndio nimekwambia pedophile ni ukichaa ila tutawanyoosha tu Yani kwa sasa mmekuwa kama mashoga mnajitangaza wazi
Wewe ni mjinga tu, unajua maana ya pedophile? Kanyonye kama huwezi kuchangia mijadala unaleta ujinga wako hapa. SIO JUKUMU LANGU KUMFUNDISHA MJINGA KUISOMA KATIBA YA NCHI YAKE MWENYEWE na tafsiri yake inayo tolewa na mahakama za juu. Kama hujui kuhusu umri wa binti kuolewa kwa ridhaa ya wazazi au mahakama what are you arguing about Mr arrogant?

Sikiliza wewe mpuuzi, sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kifungu cha 13 na 17 imeweka wazi binti anaweza kuolewa akiwa na miaka 14 au 15 kwa ridhaa ya wazazi au mahakama. Unawezaje kuniita pedophile wakati wazazi wako wameishi katika sheria hiyo miaka yote? Ndipo nikahoji umri wako wewe na uwezo wako kujadili mada nyeti.

IMG_20230408_114602.jpg
IMG_20230408_114706.jpg
IMG_20230408_120015.jpg
 
Wewe ni mjinga tu, unajua maana ya pedophile? Kanyonye kama huwezi kuchangia mijadala unaleta ujinga wako hapa. SIO JUKUMU LANGU KUMFUNDISHA MJINGA KUISOMA KATIBA YA NCHI YAKE MWENYEWE na tafsiri yake inayo tolewa na mahakama za juu. Kama hujui kuhusu umri wa binti kuolewa kwa ridhaa ya wazazi au mahakama what are you arguing about Mr arrogant?

Sikiliza wewe mpuuzi, sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kifungu cha 13 na 17 imeweka wazi binti anaweza kuolewa akiwa na miaka 14 au 15 kwa ridhaa ya wazazi au mahakama. Unawezaje kuniita pedophile wakati wazazi wako wameishi katika sheria hiyo miaka yote? Ndipo nikahoji umri wako wewe na uwezo wako kujadili mada nyeti.

View attachment 2580708View attachment 2580709View attachment 2580711
Wewe ni pedophile tena hujaisha apo tu wewe ni child molester

Chunga tu usije ingia anga zangu adhabu zangu kwa watu kama nyie nazijua mwenyewe

Ngoja niku report uzuiwe kutumia JamiiForum , hakuna kuleta ma child molester humu
 
Wewe ni mjinga tu, unajua maana ya pedophile?
Pedophilic disorder is characterized by recurring, intense sexually arousing fantasies, urges, or behavior involving children (usually 14 years old or younger).
 
Wewe ni pedophile tena hujaisha apo tu wewe ni child molester

Chunga tu usije ingia anga zangu adhabu zangu kwa watu kama nyie nazijua mwenyewe

Ngoja niku report uzuiwe kutumia JamiiForum , hakuna kuleta ma child molester humu
Ok, ho ahead. Pia natamani kuonana nawe, njoo inbox utoe location.
 
Pedophilic disorder is characterized by recurring, intense sexually arousing fantasies, urges, or behavior involving children (usually 14 years old or
Picsart_23-04-08_13-07-58-417.jpg


Haya elezea maana ya prepubescent tukusikie. Stop calling others stupid names, be grown up. Halafu nataka ueleze serikali yako iliyopitisha sheria ya ndoa ya 1971 ni pedophilic ama la?
 
View attachment 2580767

Haya elezea maana ya prepubescent tukusikie. Stop calling others stupid names, be grown up. Halafu nataka ueleze serikali yako iliyopitisha sheria ya ndoa ya 1971 ni pedophilic ama la?
Pedophile Nyenyere , unaangaika Sana ila umejiweka wazi wewe ni child molester

Yani Mimi nachukuliaga wote ma pedophile na mashoga mpo sawa mna matatizo ya akili ila haituzuii sisi wenye akili iliyo nyooka kuwapa adhabu Kali

Sime ipite kwenye makende yenu
 
Mkuu hawana hoja yoyot
Wakuu amani kwenu, leo nami nimewiwa na haja ya kutoa mchango wangu kuhusu umri sahihi umpasao binti kuolewa. Mada hii imezua mijadala mingi nchini kwa sasa hasa baada ya viongozi wa kiimani wa Waislamu kupeleka hoja kuhusu umri wa binti kuolewa. Mimi nitalizungumzia hili kwa kuzingatia maandiko matakatifu (Biblia) hivyo ulinganifu wowote wa kihoja ni vema unazingatia hilo.

Kimsingi kabisa hoja ya hawa mashehe sio ya kupuuzwa tu pasipo kujenga hoja za msingi. Wanazuoni hawa wa Kiislamu wamejenga hoja yao kupitia kitabu chao cha imani, Qur'an lakini majibu yanayotolewa yanahusiana na sheria za kiserikali.

Mimi binafsi nakubaliana na hoja yao kuhusu kutazamwa upya umri wa binti kuolewa lakini ninatofautiana nao kwenye umri waliopendekeza. Hoja yangu nitaijenga kupitia Biblia ili kuleta ulinganifu wa hoja na pia kuwafumbua macho Wakristo wengi walioandika sheria za kidunia mioyoni mwao wakiikaidi sheria ya Mungu.

Nianze kwa kutazama hoja ambayo iliibuliwa na mdau mmoja NetMaster kwamba mfalme Daudi alioa binti wa umri chini ya miaka kumi. Kifungu alichorejea ni hiki:

1 Wafalme 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mfalme Daudi alikuwa mzee, mkongwe katika siku zake, nao wakamfunika nguo, lakini asipate moto.
² Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, Bwana wangu mfalme na atafutiwe
kijana mwanamwali; naye asimame mbele ya mfalme, amtunze; alale kifuani mwako, ili bwana wangu mfalme apate moto.
³ Basi wakatafuta
kijana mzuri mipakani mwote mwa Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.

Maandiko hayataji umri wa binti aliyetafutwa bali yanataja SIFA zake, kijana mwanamwali. Neno lililotumika hapo ni naʿărâ ambalo lina maana hii:

Transliteration: naʿărâ
Usage:

girl, damsel, female servant

girl, damsel, little girl

of young woman, marriageable young woman, concubine, prostitute

maid, female attendant, female servant

Huyu binti kwanza ni bikra halafu mwenye umri umpasao kuolewa (marriageable young woman). Sasa umri umpasao binti kuolewa ni miaka mingapi kwa mujibu wa maandiko? Tutazame wana wa Israeli zamani za Agano la Kale, mabinti katika nyakati hizo waliolewa baaada tu ya kuvunja ungo. Huo ndio ukweli wa kimaandiko na ndio haswa Mungu alivyomuumba mwanamke.

Kumbe umri sahihi kabisa wa binti kuingia kwenye ndoa ni baada tu ya kuanza kuyaona majira yake, hiyo ikiwa ni dalili ya wazi kuwa sasa njia yake ya uzazi iko tayari. Hivyo basi kimaumbile katika zama hizo binti aliolewa akiwa na umri wa kati ya miaka 14 na kuendelea.

Hili linaweza kuleta ukakasi hii leo kwa sababu majira yamebadilika kutokana na mabadiliko ya mfumo wa maisha, hasa vyakula. Leo hii binti anaweza kuona majira yake hata akiwa na umri chini ya miaka 11, lakini ifahamike kwamba zamani zile binti aliona majira yake kuanzia miaka 13 katika hali ya kawaida.

Kwa mujibu wa tamaduni za Kiyahudi binti alihesabiwa kuwa tayari kuolewa baada ya miaka 13 na miezi sita (twelve and one half years). Hapo posa ingepelekwa na taratibu za ndoa kuanza.

Tuone maandiko juu ya hili:

Ezekieli 16:

7 Nalikufanya kuwa maelfu-elfu, kama mimea ya mashamba, ukaongezeka, na kuzidi kuwa mkubwa, ukapata kuwa na uzuri mno; matiti yako yakaumbwa, nywele zako zikawa zimeota; lakini ulikuwa uchi, huna nguo.

7 I made you thrive like a plant in the field; and
you grew, matured, and became very beautiful. Your breasts were formed, your hair grew, but you were naked and bare.

8 Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama,
wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nalikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.

8 When I passed by you again and looked upon you,
indeed your time was the time of love; so I spread My wing over you and covered your nakedness. Yes, I swore an oath to you and entered into a covenant with you, and you became Mine," says the Lord God.

Kwenye andiko hilo Mungu mwenyewe anaonesha ni wakati gani wa kuingia kwenye agano la ndoa. Baada ya binti kuwa mkubwa (matured) pale sehemu zake za kike zinapochukua sura yake halisi na hivyo kuonesha wazi uzuri wake (baada ya kuvunja ungo) ndipo hapo binti anaweza kuolewa. Huu ndio wakati sahihi kabisa kibiblia.

Katika waraka kwa wakorintho Paulo anagusia jambo hilo:

1 Wakorintho 7:

36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane.

36 But if any man thinks he is behaving improperly toward his virgin, if she is past the flower of youth, and thus it must be, let him do what he wishes. He does not sin; let them marry.

Kama binti amepita kipindi cha maua (she is past the flower of youth), yaani sasa amekuwa tunda, tayari kuzaa mbegu anaweza kuolewa. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu alivyoumba. Mwanamke anaposubiri muda mrefu (miaka 18 na zaidi) huingia majaribuni na wengi huanguka dhambini.

Leo hii asilimia kubwa ya wanawake wanaoolewa tukisema ukweli kwa mujibu wa maandiko ni retired prostitutes! Najua neno hili ni gumu lakini maandiko yako wazi, mwanamke siku anapofunga ndoa zisipoonekana alama za ubikira, alikuwa akifanya ukahaba nyumbani kwa baba yake. Sasa ili kuhakikisha mabinti wanaolewa katika ubikira wao walipaswa kuolewa katika umri mdogo.

Wamarekani wameiwekea dunia umri wa kijana kufikia utu uzima kuwa ni miaka 18, lakini jambo hili halipo kimaandiko. Wakristo wengi pasipo kujua wamejikuta wakinasa kwenye huu mtego ambao chanzo chake ni feminism. Habari ya elimu kwa mtoto wa kike ni matokeo feminism, kudai haki sawa, lakini hili halipo kimaandiko kabisa. Kama yuko mwenye ushahidi wa maandiko atufungue macho.

Utaratibu wa mabinti kuolewa baada ya kuhitimu vyuo wala sio wa kibiblia, haya ni matakwa ya kidunia lakini Mungu hakuwahi kuelekeza hayo. Najua hoja hii ni ngumu kueleweka hasa kufuatia mfumo waliolelewa kizazi hiki ambao ni kinyume na neno la Mungu.

Tazama kizazi kimoja tu nyuma, utabaini hata kwenye jamii zetu umri wa binti kuolewa ilikuwa baada tu ya kuvunja ungo. Mwanamke amepaswa kuolewa katika ubikira wake, huo ndio ukweli mchungu.

Ukiangalia kiundani kabisa hata utoaji wa mahari unakuwa na maana kama binti ataolewa hivi, kuonesha kwamba kijana tukio tayari na ana uwezo kumtunza binti, sio kuoa mtu ambaye amekwisha kujitegemea kitambo kimawazo au ana uwezo wa kuishi maisha yake binafsi halafu unakwenda kwa wazazi kuonyesha eti una uwezo wa kumtunza.

Matokeo yake ndio unakutana na mtihani kwamba umeshindwa kufikia viwango vyake, mfano kumpeleka saluni za gharama, maisha ya anasa, kumridhisha kitandani nk. Hatuoi ili kupata mpambanaji mwenza kwenye kusaka mali, tunaoa kupata msaidizi hasa kwenye eneo la nyumbani (uzazi na malezi) wakati sisi tunapambana kuitunza familia.

Unapooa binti maana yake unatafuta mke wa kuanza naye maisha, maana yake mnaanza pamoja maisha ya ndoa, hivyo amepaswa kuwa fresh kichwani mwake, asiwe na picha yake tofauti kuhusu maisha. Hii ina maana kubwa sana kwenye ndoa kwani mume ndiye mwenye dira, hivyo atamwekea picha halisi aitakayo yeye na watasonga mbele wakiifukuzia hiyo. Katika hilo wana nafasi kubwa ya kutoboa.

Sasa fikiria mume aliyeoa mwanamke ambaye naye anajiona anayo picha ya maisha, akijaribu kumpa maono yake mara nyingi watapishana tu na kuleta misuguano. katika hali hii ndoa nyingi zimekuwa uwanja wa mapambano kwa sababu mke na mume kila mmoja anatazama maisha katika namna tofauti.

Lakini kwa binti ambaye ndio kwanza amevunja ungo akaolewa, bado hana picha halisi ya maisha hivyo mwanamume ana wajibu wa kuandaa ramani zote. Huyu ana nafasi nzuri ya kuwa mke bora na ndoa kudumu.

Ikumbukwe tu kuwa Mungu sio Mmarekani kwamba kila wanachosema hao waliojifanya kuwa taifa la shetani ni haki mbele ya Mungu. Mabinti wengi wamepotea kwa sababu ya kukiuka neno la Mungu na kukimbilia maisha ya kuigiza, matokeo yake wamegeuka wafanyabiashara wa miili yao wenyewe. Ndoa sio maigizo ya Hollywood.

Hoja nyingine ipasayo kuzungumzwa ni wakati sahihi wa kijana wa kiume kuoa. Hili nalo limekuwa tatizo kubwa sana katika kizazi hiki
ya msingi
Wakuu amani kwenu, leo nami nimewiwa na haja ya kutoa mchango wangu kuhusu umri sahihi umpasao binti kuolewa. Mada hii imezua mijadala mingi nchini kwa sasa hasa baada ya viongozi wa kiimani wa Waislamu kupeleka hoja kuhusu umri wa binti kuolewa. Mimi nitalizungumzia hili kwa kuzingatia maandiko matakatifu (Biblia) hivyo ulinganifu wowote wa kihoja ni vema unazingatia hilo.

Kimsingi kabisa hoja ya hawa mashehe sio ya kupuuzwa tu pasipo kujenga hoja za msingi. Wanazuoni hawa wa Kiislamu wamejenga hoja yao kupitia kitabu chao cha imani, Qur'an lakini majibu yanayotolewa yanahusiana na sheria za kiserikali.

Mimi binafsi nakubaliana na hoja yao kuhusu kutazamwa upya umri wa binti kuolewa lakini ninatofautiana nao kwenye umri waliopendekeza. Hoja yangu nitaijenga kupitia Biblia ili kuleta ulinganifu wa hoja na pia kuwafumbua macho Wakristo wengi walioandika sheria za kidunia mioyoni mwao wakiikaidi sheria ya Mungu.

Nianze kwa kutazama hoja ambayo iliibuliwa na mdau mmoja NetMaster kwamba mfalme Daudi alioa binti wa umri chini ya miaka kumi. Kifungu alichorejea ni hiki:

1 Wafalme 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mfalme Daudi alikuwa mzee, mkongwe katika siku zake, nao wakamfunika nguo, lakini asipate moto.
² Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, Bwana wangu mfalme na atafutiwe
kijana mwanamwali; naye asimame mbele ya mfalme, amtunze; alale kifuani mwako, ili bwana wangu mfalme apate moto.
³ Basi wakatafuta
kijana mzuri mipakani mwote mwa Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.

Maandiko hayataji umri wa binti aliyetafutwa bali yanataja SIFA zake, kijana mwanamwali. Neno lililotumika hapo ni naʿărâ ambalo lina maana hii:

Transliteration: naʿărâ
Usage:

girl, damsel, female servant

girl, damsel, little girl

of young woman, marriageable young woman, concubine, prostitute

maid, female attendant, female servant

Huyu binti kwanza ni bikra halafu mwenye umri umpasao kuolewa (marriageable young woman). Sasa umri umpasao binti kuolewa ni miaka mingapi kwa mujibu wa maandiko? Tutazame wana wa Israeli zamani za Agano la Kale, mabinti katika nyakati hizo waliolewa baaada tu ya kuvunja ungo. Huo ndio ukweli wa kimaandiko na ndio haswa Mungu alivyomuumba mwanamke.

Kumbe umri sahihi kabisa wa binti kuingia kwenye ndoa ni baada tu ya kuanza kuyaona majira yake, hiyo ikiwa ni dalili ya wazi kuwa sasa njia yake ya uzazi iko tayari. Hivyo basi kimaumbile katika zama hizo binti aliolewa akiwa na umri wa kati ya miaka 14 na kuendelea.

Hili linaweza kuleta ukakasi hii leo kwa sababu majira yamebadilika kutokana na mabadiliko ya mfumo wa maisha, hasa vyakula. Leo hii binti anaweza kuona majira yake hata akiwa na umri chini ya miaka 11, lakini ifahamike kwamba zamani zile binti aliona majira yake kuanzia miaka 13 katika hali ya kawaida.

Kwa mujibu wa tamaduni za Kiyahudi binti alihesabiwa kuwa tayari kuolewa baada ya miaka 13 na miezi sita (twelve and one half years). Hapo posa ingepelekwa na taratibu za ndoa kuanza.

Tuone maandiko juu ya hili:

Ezekieli 16:

7 Nalikufanya kuwa maelfu-elfu, kama mimea ya mashamba, ukaongezeka, na kuzidi kuwa mkubwa, ukapata kuwa na uzuri mno; matiti yako yakaumbwa, nywele zako zikawa zimeota; lakini ulikuwa uchi, huna nguo.

7 I made you thrive like a plant in the field; and
you grew, matured, and became very beautiful. Your breasts were formed, your hair grew, but you were naked and bare.

8 Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama,
wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nalikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.

8 When I passed by you again and looked upon you,
indeed your time was the time of love; so I spread My wing over you and covered your nakedness. Yes, I swore an oath to you and entered into a covenant with you, and you became Mine," says the Lord God.

Kwenye andiko hilo Mungu mwenyewe anaonesha ni wakati gani wa kuingia kwenye agano la ndoa. Baada ya binti kuwa mkubwa (matured) pale sehemu zake za kike zinapochukua sura yake halisi na hivyo kuonesha wazi uzuri wake (baada ya kuvunja ungo) ndipo hapo binti anaweza kuolewa. Huu ndio wakati sahihi kabisa kibiblia.

Katika waraka kwa wakorintho Paulo anagusia jambo hilo:

1 Wakorintho 7:

36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane.

36 But if any man thinks he is behaving improperly toward his virgin, if she is past the flower of youth, and thus it must be, let him do what he wishes. He does not sin; let them marry.

Kama binti amepita kipindi cha maua (she is past the flower of youth), yaani sasa amekuwa tunda, tayari kuzaa mbegu anaweza kuolewa. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu alivyoumba. Mwanamke anaposubiri muda mrefu (miaka 18 na zaidi) huingia majaribuni na wengi huanguka dhambini.

Leo hii asilimia kubwa ya wanawake wanaoolewa tukisema ukweli kwa mujibu wa maandiko ni retired prostitutes! Najua neno hili ni gumu lakini maandiko yako wazi, mwanamke siku anapofunga ndoa zisipoonekana alama za ubikira, alikuwa akifanya ukahaba nyumbani kwa baba yake. Sasa ili kuhakikisha mabinti wanaolewa katika ubikira wao walipaswa kuolewa katika umri mdogo.

Wamarekani wameiwekea dunia umri wa kijana kufikia utu uzima kuwa ni miaka 18, lakini jambo hili halipo kimaandiko. Wakristo wengi pasipo kujua wamejikuta wakinasa kwenye huu mtego ambao chanzo chake ni feminism. Habari ya elimu kwa mtoto wa kike ni matokeo feminism, kudai haki sawa, lakini hili halipo kimaandiko kabisa. Kama yuko mwenye ushahidi wa maandiko atufungue macho.

Utaratibu wa mabinti kuolewa baada ya kuhitimu vyuo wala sio wa kibiblia, haya ni matakwa ya kidunia lakini Mungu hakuwahi kuelekeza hayo. Najua hoja hii ni ngumu kueleweka hasa kufuatia mfumo waliolelewa kizazi hiki ambao ni kinyume na neno la Mungu.

Tazama kizazi kimoja tu nyuma, utabaini hata kwenye jamii zetu umri wa binti kuolewa ilikuwa baada tu ya kuvunja ungo. Mwanamke amepaswa kuolewa katika ubikira wake, huo ndio ukweli mchungu.

Ukiangalia kiundani kabisa hata utoaji wa mahari unakuwa na maana kama binti ataolewa hivi, kuonesha kwamba kijana tukio tayari na ana uwezo kumtunza binti, sio kuoa mtu ambaye amekwisha kujitegemea kitambo kimawazo au ana uwezo wa kuishi maisha yake binafsi halafu unakwenda kwa wazazi kuonyesha eti una uwezo wa kumtunza.

Matokeo yake ndio unakutana na mtihani kwamba umeshindwa kufikia viwango vyake, mfano kumpeleka saluni za gharama, maisha ya anasa, kumridhisha kitandani nk. Hatuoi ili kupata mpambanaji mwenza kwenye kusaka mali, tunaoa kupata msaidizi hasa kwenye eneo la nyumbani (uzazi na malezi) wakati sisi tunapambana kuitunza familia.

Unapooa binti maana yake unatafuta mke wa kuanza naye maisha, maana yake mnaanza pamoja maisha ya ndoa, hivyo amepaswa kuwa fresh kichwani mwake, asiwe na picha yake tofauti kuhusu maisha. Hii ina maana kubwa sana kwenye ndoa kwani mume ndiye mwenye dira, hivyo atamwekea picha halisi aitakayo yeye na watasonga mbele wakiifukuzia hiyo. Katika hilo wana nafasi kubwa ya kutoboa.

Sasa fikiria mume aliyeoa mwanamke ambaye naye anajiona anayo picha ya maisha, akijaribu kumpa maono yake mara nyingi watapishana tu na kuleta misuguano. katika hali hii ndoa nyingi zimekuwa uwanja wa mapambano kwa sababu mke na mume kila mmoja anatazama maisha katika namna tofauti.

Lakini kwa binti ambaye ndio kwanza amevunja ungo akaolewa, bado hana picha halisi ya maisha hivyo mwanamume ana wajibu wa kuandaa ramani zote. Huyu ana nafasi nzuri ya kuwa mke bora na ndoa kudumu.

Ikumbukwe tu kuwa Mungu sio Mmarekani kwamba kila wanachosema hao waliojifanya kuwa taifa la shetani ni haki mbele ya Mungu. Mabinti wengi wamepotea kwa sababu ya kukiuka neno la Mungu na kukimbilia maisha ya kuigiza, matokeo yake wamegeuka wafanyabiashara wa miili yao wenyewe. Ndoa sio maigizo ya Hollywood.

Hoja nyingine ipasayo kuzungumzwa ni wakati sahihi wa kijana wa kiume kuoa. Hili nalo limekuwa tatizo kubwa sana katika kizazi hiki.
Mkuu hoja ya Mashehe ni dhaifu mno, sitaki kuamini ya kwamba Sheikh Issa Ponda na wenzake hawalijui katazo la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu umri na ukomo wa mtoto ni miaka 18, lakini inaonekana kuna kitu kipo nyuma ya pazia au yawezekana ni njaa tu inamsumbua kwa hiyo anatafuta sababu na yeye akumbukwe.
 
Pedophile Nyenyere , unaangaika Sana ila umejiweka wazi wewe ni child molester

Yani Mimi nachukuliaga wote ma pedophile na mashoga mpo sawa mna matatizo ya akili ila haituzuii sisi wenye akili iliyo nyooka kuwapa adhabu Kali

Sime ipite kwenye makende yenu
Ok, nasubiri sime lako mkuu
 
Mkuu hawana hoja yoyot

ya msingi

Mkuu hoja ya Mashehe ni dhaifu mno, sitaki kuamini ya kwamba Sheikh Issa Ponda na wenzake hawalijui katazo la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu umri na ukomo wa mtoto ni miaka 18, lakini inaonekana kuna kitu kipo nyuma ya pazia au yawezekana ni njaa tu inamsumbua kwa hiyo anatafuta sababu na yeye akumbukwe.
Nope, sio njaa, bali mimi nilivyowaelewa wamesimamia sheria ya dini yao. Ndipo nikajaribu kuonyesha kuwa hata Biblia ina namna hiyo isipokuwa tu umri ndio umepishana. Sheria za nchi ziliruhusu binti kuolewa kuanzia miaka 14 kabla ya sheria ya mwaka 1978 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2016? kutungwa sheria ya ELIMU ambayo ilizuia mtoto ANAYESOMA kuolewa.
 
Nope, sio njaa, bali mimi nilivyowaelewa wamesimamia sheria ya dini yao. Ndipo nikajaribu kuonyesha kuwa hata Biblia ina namna hiyo isipokuwa tu umri ndio umepishana. Sheria za nchi ziliruhusu binti kuolewa kuanzia miaka 14 kabla ya sheria ya mwaka 1978 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2016? kutungwa sheria ya ELIMU ambayo ilizuia mtoto ANAYESOMA kuolewa.
Huyu Shehe na wenzake wakaombe uraia kwenye nchi zinazofuata sharia za dini ya Kiislamu kwa Tanzania haiwezekani na haitatokea, kikatiba ni nchi isiyofungamana na dini yoyote ile na analijua hilo tumuombe Mwenyezi Mungu na Serikali yetu tukufu kwa kulitambua jambo hili muhimu tangu mwanzo kwa ustawi wa taifa letu, mwisho (amani yetu bado tunaipenda).
 
¹ Mfalme Daudi alikuwa mzee, mkongwe katika siku zake, nao wakamfunika nguo, lakini asipate moto.
² Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, Bwana wangu mfalme na atafutiwe
kijana mwanamwali; naye asimame mbele ya mfalme, amtunze; alale kifuani mwako, ili bwana wangu mfalme apate moto.
³ Basi wakatafuta
kijana mzuri mipakani mwote mwa Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.
Kwahiyo tamaa za Daudi mnataka kuziambukiza kwetu!!! Waacheni waisrael waishi maisha yao na sisi tuishi kivyetu
 
Back
Top Bottom