Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Ma pedophile ata muandike magazeti , adhabu yenu inatakuwa kuwa sime Kali ipite kwenye makende yenu
 
yaaan utumie biblia kuhalalisha mtoto wa miaka 14 aoleweee wapi na wapiii nduguuu nipe fungu?????sio lazima uchangie hoja kam una lakusema nyamazaaaa
Rudi kasome upya bandiko langu. Pia situmii Biblia kuhalalisha, nasema kilichoandikwa humo. Neno la Mungu haliongozwi na personal feelings au mfumo wa hovyo uliolishwa. I choose to trust God. Katika zama walizofanya hayo ndoa ilikuwa eneo salama, leo hiimmegeuko kituko na hizo concepts zenu za kuazima toka magharibi. Muhimu kwako ujifunze leo ni kuwa hili naloliongea wala sio mfumo mpya, ulikuwepo ukaguzi kwa karne nyingi, hivi majuzi tu katika nyakati zetu ukaondolewa kwa kigezo cha elimu. Sasa kama wewe ni mtoto wa juzi huwezi kulijua hilo kwani umezaliwa chini ya sheria ya elimu. Lazima unaki na mshangao, usijue kama KATIBA YA NCHI YAKO MWENYEWE inatambua ndoa ya binti wa miaka 14. Tujifunze kutafiti mambo kabla ya kushutumu
 
Ma pedophile ata muandike magazeti , adhabu yenu inatakuwa kuwa sime Kali ipite kwenye makende yenu
Mtoto wa juzi wewe, huna ulijualo na maisha ya kuiga ya Ulaya.
 
Unaelewa kwamba hata hili andiko lako la kunikataza kupata mambo Google linaweza kupatikana kwa kutumia Google?

Pinga hoja kwa udhaifu wa content, si kwa content imetoka wapi.

Nimekuuliza nikikupa maneno ya vitabu vya dini yako ambayo nimeyapata kwa kutumia Google utayakubali kwa sababu ni maneno ya vitabu vya dini yako, au utayakataa kwa sababu ni maneno niliyoyapata kwa kutumia Google?

Hujanijibu!
You can't reason logically, nadhani umezoea mijadala ya kubishana kama wendawazimu. Jifunze kujenga hoja halafu uje tujadili. Nilipata kusoma sehemu watu wanakusifia kuwa atheist mjuvi, kumbe mzee wa kukopi makala za wengine na ku-paste. Hata kwenye academics hilo halikubaliki.
 
yaaan utumie biblia kuhalalisha mtoto wa miaka 14 aoleweee wapi na wapiii nduguuu nipe fungu?????sio lazima uchangie hoja kam una lakusema nyamazaaaa
Ooh wewe unatumia maandiko ya ngono za kuvuka mipaka zilizoandikwa kwenye biblia kwa kufanyia maasi ya uasherati na uzinzi, au sio?
 
Mtoto wa juzi wewe, huna ulijualo na maisha ya kuiga ya Ulaya.
U pedophile ni moja ya u ukichaa kwa hiyo sikushangai

Ma Child molester , ni kuwatungia Sheria tuwakate makende na sime
 
usijue kama KATIBA YA NCHI YAKO MWENYEWE inatambua ndoa ya binti wa miaka 14. Tujifunze kutafiti mambo kabla ya kushutumu
Pedophile unaposhindwa kujua katiba ya nchi na Sheria ya ndoa

Pedophilia ni ukichaa , Yani ma child molester mnajitangaza wazi kama mashoga wanavyofanya
 
Rudi kasome upya bandiko langu. Pia situmii Biblia kuhalalisha, nasema kilichoandikwa humo. Neno la Mungu haliongozwi na personal feelings au mfumo wa hovyo uliolishwa. I choose to trust God. Katika zama walizofanya hayo ndoa ilikuwa eneo salama, leo hiimmegeuko kituko na hizo concepts zenu za kuazima toka magharibi. Muhimu kwako ujifunze leo ni kuwa hili naloliongea wala sio mfumo mpya, ulikuwepo ukaguzi kwa karne nyingi, hivi majuzi tu katika nyakati zetu ukaondolewa kwa kigezo cha elimu. Sasa kama wewe ni mtoto wa juzi huwezi kulijua hilo kwani umezaliwa chini ya sheria ya elimu. Lazima unaki na mshangao, usijue kama KATIBA YA NCHI YAKO MWENYEWE inatambua ndoa ya binti wa miaka 14. Tujifunze kutafiti mambo kabla ya kushutumu
ndo inapitishwa miaka 18 andamana sasaaaa
 
Ni kweli HAKULALA NAYE, mimi neno langu haliko huko, labda hujaelewa. Hapo nilikuwa namkanusha yule aliyedai DAUDI alioa binti wa umri chini ya miaka kumi. Hata kama angelala naye tayari binti huyo alifikia umri wa kuolewa, umeelewa?

Kuhusu umri wa kuolewa HUNA JINSI YA KUPINGA kwa sababu hiyo ndio ilikuwa desturi ya Wayahudi toka agano la Kale. Jaribu kuyachunguza maandiko uone kama iko hiyo habari ya miaka 18,huu ni mfumo ulioletwa hivi karibuni tu kama hujui. Hii ilianza pale duniani ilipotaka mwanamke apewe nafasi ya kusoma kwanza, lakini huo SIO MPANGO WA MUNGU, tena huwezi kuwa na hoja kupinga hilo.

Leo hii watu wengi wanaojiita Wakristo kiukweli wametekwa na mifumo ya kidunia na kuamini hiyo ndio iko sahihi. Kuanzia maandalizi ya binti kwa ajili ya kuwa mke, utaratibu wa kutoa posa, mfumo wa kufunga ndoa na hata sherehe ya harusi, vyote haya ukiyachunguza hayana msingi wa kimaandiko. Mfumo wa Mungu kuhusu jinsi kijana anavyopaswa kumpata mke upo wazi kimaandiko lakini Wakristo wameukataa na kujiwekea mifumo yao wenyewe.

Kama tunaamini Kristo ni kweli yote, basi imetupasa kuyaamini maandiko. Nje ya hayo hakuna kweli, ni uongo na uzushi tu. Let God be true and every man a liar.
We're jamaaa!!!!!!!!!......
Ni kweli Kila andiko Lina pumzi ya Mungu.
Ni kweli Kila andiko lafaa kujifunza.
Lakini kwani kujifunza ni kuiga life style za watu wanaotajwa kwenye hayo mafundisho??
Binafsi nafikiri , kujifunza ni kutambua strength na weakness za hao waliotajwa kwenye mafundisho, Kisha kufanya maamuzi sahihi yanayompendeza Mungu na yenye ustawi kwa jamii.
Hata hivo hatujaambiwa kwamba Kila kiiiiitu walichofanya Hawa role models wetu kwamba kilikuwa sahihi mbele za Mungu!!
Kwa mifano imeandikwa:-
Kaini alimuua Abel, na sisi tuuue?
Mfalme Daudi alipora mke wa Askari wake Kisha kumuua mwenye mke, na ss tufanye hivo??
Hosea alioa mwanamke kahaba, na sisi tuoe makahaba?
Na mingine chungu nzima.
Ajabu Sana kusikia mtu anasema kwa mfano 'Suleiman alioa wake elfu moja, lakini hasemi outcomes ya Suleiman kuoa idadi hiyo ya wake ambayo pia imeandikwa..
 
U pedophile ni moja ya u ukichaa kwa hiyo sikushangai

Ma Child molester , ni kuwatungia Sheria tuwakate makende na sime
Ulikuwa wapi kutunga sheria hiyo kwa karne zote zilizopita? You can't reason logically, hujui hata unachokitetea. Who is a child, nataka jibu hapo kwanza tuone kama ubongo wako uko sawa au umemezeshwa garbage.
 
Pedophile ni wewe
Tena sio pedophile tu wewe pia ni child molester
Siwezi kubishana na mjinga mmoja asiyejenga hoja. Wewe huna uliloandika hapa zaidi ya tuhuma za kipuuzi. JF ni kwa asili ya GREAT THINKERS, not an arena for little boys. Andika hoja kama unayo, otherwise nenda katunge hiyo sheria unayolilia. Disgusting
 
ndo inapitishwa miaka 18 andamana sasaaaa
Umesoma nilichoandika? Afu ili uwe na akili timamu jiulize karne zote zilizopita kwa nini hiyo sheria haikuwepo mpaka ijadiliwe leo? Hiyo ni kwa critical thinkers pekee, sio kila mada ni kwa ajili ya wote. Wengine itoshe msome tu na kupita.

Kuhusu kupitishwa miaka 18 ni mpaka ipitishwe, wenye akili timamu wameona wakusanye maoni kwanza before, nakuhakikishia utaishia kulialia hapa mtandaoni tu, hiyo miaka 18 hata Marekani mnakoiga haipo. US wanaoza mpaka binti wa miaka 12.
 
Back
Top Bottom