Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Kuvunja ungo na uwezo wa kuhimili mikimiki ya uzazi ni vitu viwili tofauti Kuna maternal death mchungaji acheni ujinga wenu wakuozesha mabinti wadogo wa 12 13 afu usisahau kuwah kuvunja ungo mapema sio kua maturity
Yaani shida sana , mtoto wa miaka 14 eti aolewe dar. Quran yenyewe inaongelea maturity sio kimwili bali kuwa na sound mind.
 
Tuwahurumie mabinti zetu! Miaka 20 ndiyo umri angalau wa binti kuolewa! Anakuwa ameshakomaa na ameshajua majukumu yake kama Mama! Wakati mwingine tusifuate miongozo ya dini ambayo ilijengwa kwa utamaduni wa Wayahudi na Waarabu! Mwishowe tutamfuata mtume wa Allah aliyeoa mtoto wa miaka 6 akambikiri akiwa na miaka 9! Nadhani huyo alikufa bila kuzaa!
 
Tuwahurumie mabinti zetu! Miaka 20 ndiyo umri angalau wa binti kuolewa! Anakuwa ameshakomaa na ameshajua majukumu yake kama Mama! Wakati mwingine tusifuate miongozo ya dini ambayo ilijengwa kwa utamaduni wa Wayahudi na Waarabu! Mwishowe tutamfuata mtume wa Allah aliyeoa mtoto wa miaka 6 akambikiri akiwa na miaka 9! Nadhani huyo alikufa bila kuzaa!
Sasa watoto wanaanza mapenzi na miaka 8
 
Wapi sijashughulisha ubongo wangu?

Wewe unaji contradict. Hutaki copy and paste, halafu unataka kutumia maandiko ya vitabu kwa copy and paste.

Hujui hata unataka nini.

Nimekwambia Biblia ina makosa, kwa sababu ina support utumwa. Hayo maneno yangu, si copy and paste.

Ukataka nikupe vifungu vya Biblia, ambavyo siwezi kuandika vyangu, inanibidi ni copy and paste kama vilivyo katika Biblia.

Kisha unanilaumu kuwa na copy and paste.

Nikiandika maneno yangu hutaki, unataka nilete vifungu vya Biblia.

Nikileta vifungu vya Biblia hutaki, unasema nina copy and paste.

Hujui hata unataka nini zaidi ya ubishi tu.
NARUDIA TENA, with due honest, kama unataka tujadili SIPENDI tabia ya kunakili maandiko ya Google na kutupia hapa,WEKA KWA LUGHA YAKO MWENYEWE, you have a brain bro!! Kuhusu Biblia wala usinichoshe, hicho ndicho kitabu cha rejea unacho nukuu, lakini kama kuna hoja toka google, onyesha hiyo rejea kisha ufafanue kwa mtazamo wako nami nitafafanua kwa nini Biblia imeandika vile utakavyonukuu. Hebu tuache ubishani wa kitoto turudi kwenye hoja ya msingi.

Thanks
 
NARUDIA TENA, with due honest, kama unataka tujadili SIPENDI tabia ya kunakili maandiko ya Google na kutupia hapa,WEKA KWA LUGHA YAKO MWENYEWE, you have a brain bro!! Kuhusu Biblia wala usinichoshe, hicho ndicho kitabu cha rejea unacho nukuu, lakini kama kuna hoja toka google, onyesha hiyo rejea kisha ufafanue kwa mtazamo wako nami nitafafanua kwa nini Biblia imeandika vile utakavyonukuu. Hebu tuache ubishani wa kitoto turudi kwenye hoja ya msingi.

Thanks
Google ni search engine, Google haina maandiko.

Nikikuwekea maandiko ya nukuu ya kitabu cha dini yako, vile vile yalivyo katika kitabu, niliyoyapata kwa kupitia Google, utayakataa kwa sababu nimeyapata kwa kutumia Google?

Kama maandiko ninayokupa yana hoja dhaifu, pangua hizo hoja dhaifu, usipinge maandiko kwa sababu yametoka sehemu fulani, pinga maandiko kwa kupangua hoja.

Mbona mimi naona Quran na Biblia zina upuuzi na upumbavu mwingi, lakini sikatai hoja kwa sababu imetoka katika Quran au Biblia, naikataa hoja kwa sababu ina mapungufu kimantiki, kwa sababu, licha ya Quran na Biblia kuwa na ujinga mwingi, sio kila kitu kutoka kwenye Quran na Biblia ni ujinga.

Google ni search engine inayoweza kukupa mengi ya maarifa mazuri, na mengi ya ujinga.

Kwa hivyo, kitu kutoka Google si hoja kwamba ndiyo kizuri au kibaya.

Ili kuweza kukosoa kitu kimantiki inabidi ukosoe hoja zaidi ya kusema "hiki kimetoka Google" tu.

Ukikataa kitu kwa sababu kimepatikana kwa kutumia Google, utakataa mpaka kitabu chako cha dini.

Maana nacho kinapatikana Google vile vile.
 
Wakuu amani kwenu, leo nami nimewiwa na haja ya kutoa mchango wangu kuhusu umri sahihi umpasao binti kuolewa. Mada hii imezua mijadala mingi nchini kwa sasa hasa baada ya viongozi wa kiimani wa Waislamu kupeleka hoja kuhusu umri wa binti kuolewa. Mimi nitalizungumzia hili kwa kuzingatia maandiko matakatifu (Biblia) hivyo ulinganifu wowote wa kihoja ni vema unazingatia hilo.

Kimsingi kabisa hoja ya hawa mashehe sio ya kupuuzwa tu pasipo kujenga hoja za msingi. Wanazuoni hawa wa Kiislamu wamejenga hoja yao kupitia kitabu chao cha imani, Qur'an lakini majibu yanayotolewa yanahusiana na sheria za kiserikali.

Mimi binafsi nakubaliana na hoja yao kuhusu kutazamwa upya umri wa binti kuolewa lakini ninatofautiana nao kwenye umri waliopendekeza. Hoja yangu nitaijenga kupitia Biblia ili kuleta ulinganifu wa hoja na pia kuwafumbua macho Wakristo wengi walioandika sheria za kidunia mioyoni mwao wakiikaidi sheria ya Mungu.

Nianze kwa kutazama hoja ambayo iliibuliwa na mdau mmoja NetMaster kwamba mfalme Daudi alioa binti wa umri chini ya miaka kumi. Kifungu alichorejea ni hiki:

1 Wafalme 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mfalme Daudi alikuwa mzee, mkongwe katika siku zake, nao wakamfunika nguo, lakini asipate moto.
² Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, Bwana wangu mfalme na atafutiwe
kijana mwanamwali; naye asimame mbele ya mfalme, amtunze; alale kifuani mwako, ili bwana wangu mfalme apate moto.
³ Basi wakatafuta
kijana mzuri mipakani mwote mwa Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.

Maandiko hayataji umri wa binti aliyetafutwa bali yanataja SIFA zake, kijana mwanamwali. Neno lililotumika hapo ni naʿărâ ambalo lina maana hii:

Transliteration: naʿărâ
Usage:

girl, damsel, female servant

girl, damsel, little girl

of young woman, marriageable young woman, concubine, prostitute

maid, female attendant, female servant

Huyu binti kwanza ni bikra halafu mwenye umri umpasao kuolewa (marriageable young woman). Sasa umri umpasao binti kuolewa ni miaka mingapi kwa mujibu wa maandiko? Tutazame wana wa Israeli zamani za Agano la Kale, mabinti katika nyakati hizo waliolewa baaada tu ya kuvunja ungo. Huo ndio ukweli wa kimaandiko na ndio haswa Mungu alivyomuumba mwanamke.

Kumbe umri sahihi kabisa wa binti kuingia kwenye ndoa ni baada tu ya kuanza kuyaona majira yake, hiyo ikiwa ni dalili ya wazi kuwa sasa njia yake ya uzazi iko tayari. Hivyo basi kimaumbile katika zama hizo binti aliolewa akiwa na umri wa kati ya miaka 14 na kuendelea.

Hili linaweza kuleta ukakasi hii leo kwa sababu majira yamebadilika kutokana na mabadiliko ya mfumo wa maisha, hasa vyakula. Leo hii binti anaweza kuona majira yake hata akiwa na umri chini ya miaka 11, lakini ifahamike kwamba zamani zile binti aliona majira yake kuanzia miaka 13 katika hali ya kawaida.

Kwa mujibu wa tamaduni za Kiyahudi binti alihesabiwa kuwa tayari kuolewa baada ya miaka 13 na miezi sita (twelve and one half years). Hapo posa ingepelekwa na taratibu za ndoa kuanza.

Tuone maandiko juu ya hili:

Ezekieli 16:

7 Nalikufanya kuwa maelfu-elfu, kama mimea ya mashamba, ukaongezeka, na kuzidi kuwa mkubwa, ukapata kuwa na uzuri mno; matiti yako yakaumbwa, nywele zako zikawa zimeota; lakini ulikuwa uchi, huna nguo.

7 I made you thrive like a plant in the field; and
you grew, matured, and became very beautiful. Your breasts were formed, your hair grew, but you were naked and bare.

8 Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama,
wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nalikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.

8 When I passed by you again and looked upon you,
indeed your time was the time of love; so I spread My wing over you and covered your nakedness. Yes, I swore an oath to you and entered into a covenant with you, and you became Mine," says the Lord God.

Kwenye andiko hilo Mungu mwenyewe anaonesha ni wakati gani wa kuingia kwenye agano la ndoa. Baada ya binti kuwa mkubwa (matured) pale sehemu zake za kike zinapochukua sura yake halisi na hivyo kuonesha wazi uzuri wake (baada ya kuvunja ungo) ndipo hapo binti anaweza kuolewa. Huu ndio wakati sahihi kabisa kibiblia.

Katika waraka kwa wakorintho Paulo anagusia jambo hilo:

1 Wakorintho 7:

36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane.

36 But if any man thinks he is behaving improperly toward his virgin, if she is past the flower of youth, and thus it must be, let him do what he wishes. He does not sin; let them marry.

Kama binti amepita kipindi cha maua (she is past the flower of youth), yaani sasa amekuwa tunda, tayari kuzaa mbegu anaweza kuolewa. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu alivyoumba. Mwanamke anaposubiri muda mrefu (miaka 18 na zaidi) huingia majaribuni na wengi huanguka dhambini.

Leo hii asilimia kubwa ya wanawake wanaoolewa tukisema ukweli kwa mujibu wa maandiko ni retired prostitutes! Najua neno hili ni gumu lakini maandiko yako wazi, mwanamke siku anapofunga ndoa zisipoonekana alama za ubikira, alikuwa akifanya ukahaba nyumbani kwa baba yake. Sasa ili kuhakikisha mabinti wanaolewa katika ubikira wao walipaswa kuolewa katika umri mdogo.

Wamarekani wameiwekea dunia umri wa kijana kufikia utu uzima kuwa ni miaka 18, lakini jambo hili halipo kimaandiko. Wakristo wengi pasipo kujua wamejikuta wakinasa kwenye huu mtego ambao chanzo chake ni feminism. Habari ya elimu kwa mtoto wa kike ni matokeo feminism, kudai haki sawa, lakini hili halipo kimaandiko kabisa. Kama yuko mwenye ushahidi wa maandiko atufungue macho.

Utaratibu wa mabinti kuolewa baada ya kuhitimu vyuo wala sio wa kibiblia, haya ni matakwa ya kidunia lakini Mungu hakuwahi kuelekeza hayo. Najua hoja hii ni ngumu kueleweka hasa kufuatia mfumo waliolelewa kizazi hiki ambao ni kinyume na neno la Mungu.

Tazama kizazi kimoja tu nyuma, utabaini hata kwenye jamii zetu umri wa binti kuolewa ilikuwa baada tu ya kuvunja ungo. Mwanamke amepaswa kuolewa katika ubikira wake, huo ndio ukweli mchungu.

Ukiangalia kiundani kabisa hata utoaji wa mahari unakuwa na maana kama binti ataolewa hivi, kuonesha kwamba kijana tukio tayari na ana uwezo kumtunza binti, sio kuoa mtu ambaye amekwisha kujitegemea kitambo kimawazo au ana uwezo wa kuishi maisha yake binafsi halafu unakwenda kwa wazazi kuonyesha eti una uwezo wa kumtunza.

Matokeo yake ndio unakutana na mtihani kwamba umeshindwa kufikia viwango vyake, mfano kumpeleka saluni za gharama, maisha ya anasa, kumridhisha kitandani nk. Hatuoi ili kupata mpambanaji mwenza kwenye kusaka mali, tunaoa kupata msaidizi hasa kwenye eneo la nyumbani (uzazi na malezi) wakati sisi tunapambana kuitunza familia.

Unapooa binti maana yake unatafuta mke wa kuanza naye maisha, maana yake mnaanza pamoja maisha ya ndoa, hivyo amepaswa kuwa fresh kichwani mwake, asiwe na picha yake tofauti kuhusu maisha. Hii ina maana kubwa sana kwenye ndoa kwani mume ndiye mwenye dira, hivyo atamwekea picha halisi aitakayo yeye na watasonga mbele wakiifukuzia hiyo. Katika hilo wana nafasi kubwa ya kutoboa.

Sasa fikiria mume aliyeoa mwanamke ambaye naye anajiona anayo picha ya maisha, akijaribu kumpa maono yake mara nyingi watapishana tu na kuleta misuguano. katika hali hii ndoa nyingi zimekuwa uwanja wa mapambano kwa sababu mke na mume kila mmoja anatazama maisha katika namna tofauti.

Lakini kwa binti ambaye ndio kwanza amevunja ungo akaolewa, bado hana picha halisi ya maisha hivyo mwanamume ana wajibu wa kuandaa ramani zote. Huyu ana nafasi nzuri ya kuwa mke bora na ndoa kudumu.

Ikumbukwe tu kuwa Mungu sio Mmarekani kwamba kila wanachosema hao waliojifanya kuwa taifa la shetani ni haki mbele ya Mungu. Mabinti wengi wamepotea kwa sababu ya kukiuka neno la Mungu na kukimbilia maisha ya kuigiza, matokeo yake wamegeuka wafanyabiashara wa miili yao wenyewe. Ndoa sio maigizo ya Hollywood.

Hoja nyingine ipasayo kuzungumzwa ni wakati sahihi wa kijana wa kiume kuoa. Hili nalo limekuwa tatizo kubwa sana katika kizazi hiki.
kama hujui maaandiko heri ungenyamaza
 
Huu uzi ni batili unahamasisha 'pedophilia'-tabia ya mtu mzima kuvutiwa kingono na watoto.....

Haijalishi umeitoa kwenye bible ama quran, haifai, utapingwa tu!
 
Ahaa, ulikuwa hujajieleza vizuri kwamba nijieleze kuhusu nini.


In Paul's letters to the Ephesians, Paul motivates early Christian slaves to remain loyal and obedient to their masters like they are to Christ. Ephesians 6:5-8 Paul states, “Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ” which is Paul instructing slaves to obey their master.
"Does the Bible Support Slavery? | Catholic Answers" Does the Bible Support Slavery?
 
Kuamini Mungu anayekupangia kuishi bila wewe kukubali kwamba unataka kuishi tu ni kukubali slavery.
Kwani kiranga unachotaka kujadili hapa ni kitu gani ? Afu umesikia wapi kuwa mimi sitaki kukubali kuishi ?

Tatizo kwenye baadhi ya mada ni unaujuaji mwingi usio na tija, Nyenyere amekuambia huko juu achana na mambo ya google kisha ulete ivo vifungu vya biblia kwa muono wako wewe na kisha mjadili sio kwa copy paste toka google. (Maana hiyo hata yeye angeweza kufanya kama mimi nilivokufanyia hapa).
 
Kwani kiranga unachotaka kujadili hapa ni kitu gani ? Afu umesikia wapi kuwa mimi sitaki kukubali kuishi ?

Tatizo kwenye baadhi ya mada ni unaujuaji mwingi usio na tija, Nyenyere amekuambia huko juu achana na mambo ya google kisha ulete ivo vifungu vya biblia kwa muono wako wewe na kisha mjadili sio kwa copy paste toka google. (Maana hiyo hata yeye angeweza kufanya kama mimi nilivokufanyia hapa).
Kwani wewe unafikiri ninachotaka kujadili nini? Na wapi nimekwambia wewe hutaki kuishi?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Nimemjibu Nyenyere kwamba Google haina content, Google ni search engine ambayo mambo karibu yote yaliyo mtandaoni unaweza kuyapata kwa kuitumia.

Sasa, ukiniambia niachane na hoja, kwa sababu nimeipata kwa kutumia Google tu, hata hiyo hoja ya kusema "achana na hoja kwa sababu umeipata kwa kutumia Google" naweza kuipata Google.

Sasa hapo nitafanya vipi, nimetumia Google, nikapata hoja kwamba niachane na hoja nitakayoipata kwa kutumia Google.

Niachane na hoja ya kuachana na hoja kwa sababu nimeipata hoja kutumia Google?
Au niachane na hoja kwa sababu nimeipata kwa kutumia Google?

Contradiction. But I suspect you will not get it.

Pia, kwa wanaoamini vitabu vya dini, vitabu hivyo pia vinapatikana Google.

Mtaachana navyo kwa sababu vinapatikana Google?

Hujajibu hoja, unaleta viroja.
 
Na wapi nimekwambia wewe hutaki kuishi?
Kuamini Mungu anayekupangia kuishi bila wewe kukubali kwamba unataka kuishi tu ni kukubali slavery.
Kwani wewe unafikiri ninachotaka kujadili nini?
Unaniuliza mimi tena, mimi naona unatangatanga tuu, ndio kusema uzito wa title ya uzi umekushinda ukahamishia kwenye slavery ambayo unalazimisha tujadili kwa kutumia copy paste ya articles unazotoa wikipedia.
 
Google ni search engine, Google haina maandiko.

Nikikuwekea maandiko ya nukuu ya kitabu cha dini yako, vile vile yalivyo katika kitabu, niliyoyapata kwa kupitia Google, utayakataa kwa sababu nimeyapata kwa kutumia Google?

Kama maandiko ninayokupa yana hoja dhaifu, pangua hizo hoja dhaifu, usipinge maandiko kwa sababu yametoka sehemu fulani, pinga maandiko kwa kupangua hoja.

Mbona mimi naona Quran na Biblia zina upuuzi na upumbavu mwingi, lakini sikatai hoja kwa sababu imetoka katika Quran au Biblia, naikataa hoja kwa sababu ina mapungufu kimantiki, kwa sababu, licha ya Quran na Biblia kuwa na ujinga mwingi, sio kila kitu kutoka kwenye Quran na Biblia ni ujinga.

Google ni search engine inayoweza kukupa mengi ya maarifa mazuri, na mengi ya ujinga.

Kwa hivyo, kitu kutoka Google si hoja kwamba ndiyo kizuri au kibaya.

Ili kuweza kukosoa kitu kimantiki inabidi ukosoe hoja zaidi ya kusema "hiki kimetoka Google" tu.

Ukikataa kitu kwa sababu kimepatikana kwa kutumia Google, utakataa mpaka kitabu chako cha dini.

Maana nacho kinapatikana Google vile vile.
Mkuu, hili ni jibu langu la mwisho kwako. Kama unataka t7jadili naomba uhenge hoja, sio tabia yako ya kuchukua mabandiko ua google unatupia hapa. Wewe una akili timamu ya kuweza kuoembua mambo, soma hizo makala halafu njoo hapa jukwaani uandike mtazamo wako HUKU UKIFANYA REJEA ya hizo makala. Huo ndio utaratibu mzuri kwa mtu mwenye fikra timamu, tukianza kushindana kunakili makala mbalimbali mtandaoni maana yake vichwa vyetu havina uwezo wa kupembua mambo na kutoa maoni yetu. Mimi pia nina uwezo wa kunakili mabandiko mbalimbali kwa msaada wa google, lakini sipendi kuwa Kama msukule. Uhai wa mjadala wowote ni uwezo wa kujenga hoja zenye mashiko, nje ya hapo ni mashindano ya kipuuzi. Mimi siko kwe mambo ya kipuuzi, napenda kujenga hoja maridhawa. Kama umeelewa tuenselee, la hujaelewa basi kwa heri.
 
kama hujui maaandiko heri ungenyamaza
Kama kweli unajua maandiko ungenioa ufafanuzi nielewe, unaongea kama mtu asiye na hoja bali ameshikilia msimamo fulani. Maandiko sio aya za kukariri, learn that!
 
Back
Top Bottom