Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Wameshindqa ma ibilisi utaweza wewe?

Jiulize hilo kwanza, mwenzako huyu akaamuwa kusilimu:



View: https://youtu.be/pQG-oIMSbco?si=Ck-J8_LDDLSwP5td
 

Wasije wakampoteza Sheikh wa watu. Ila Ujumbe umefika.
 
FaizaFoxy ni Mjuaji. Kila kitu a akijua yeye... Imagine mpaka anapingana na Sheikh wake.
 
FaizaFoxy ni Mjuaji. Kila kitu a akijua yeye... Imagine mpaka anapingana na Sheikh wake.
Ulikuwa hutaki nijuwe?

Sema Ma shaa Allah. Kujuwa ni sifa kwangu.

Sheikh siyo cheo, Kiislam ni lebo y kiheshima tu.

AlhamduliLlah, hata mimi ni Shekha, ki umri, kielimu na kila kitu.
 
Sijasema Hadith ipo sahihi nimemjibu kwamba asijitoe akili kwamba ni maoni yake wakati hadithi ipo....elewa
 
The Mongolian Savage 🤣tunaomba muongozo shehe
 
Uislamu unaruhu mwanamke kuwa kiongozi juu ya mwanaume? Aisee wewe mbibi zero brain kabisa
Hakuna mahali hilo limeharamishwa. labda hujuwi sharia za Kiislam

Kiislam kila kitu rukhsa mpaka kiharamishwe na Allah.

Kumbuka hilo.
 
Yupo sahihi kabisa USA wamezingatia sana maandiko hayo kumkataa Kamala Harris
Unachanganyua mada, wewe Mtanzania US inakuhusu nini mwenzangu na mie?

Wenzako huko breakfast ni nusu kila steak na fresh orange juice wanasukumia kwa mkate wa ngano ile grade A.

yeyote wanaemchaguwa hayatuhusu huku kwetu. Au na wewe ushajijaza ujinga kuwa mmarekeani kwa kutazama picha zao?
 
Hakuna cha hadithi sahihi wala dhaifu, hayo ni maoni ya watu tu. Weka Qur'an inasemaje bila tafsiri uchwara.

Maneno ya Allah yanajitosheleza, kabisa tena na hayana shaka ndani yake.

Hakutumwa mtume yeyote kutuletea yake binafsi.

Sikatai quran imejitosheleza hilo halina shaka ndani yake.

Ila tu assume tunaondoa hadith na sasa tunakomaa na quran pekee unaweza kunipa aya zinazoelezea jinsi ya kuswali ? Procedures zote yaani naongelea tukianza na takbira tul ihram, mpaka salam.

halafu unipe aya pia inayosema tuswali swala tano iwe imejieleza bila ya ku backup na hadith yoyote ile , sijaujua kama unafahamu kuwa mtume muhammad (amani iwe juu yake) alienda kupokea swala kwenye arshi ya Allah (azzawajal) kwenye safari ya miiraj.
 
Hditrh inayokubalika ni ile inayoambatana na aya ya Qutr'an siyo ya kubuni tu.

Huwa sikisii.

Uislam hautazami nini kinaruhusiwa, tunatazama nini kinakatazwa, kama hakijakatazwa kwenye Qur'an hata Mtume hawezi kukikataza na ukiona kimekatazwa kwenye hadithi yoyote ile ujuwe hiyo ni porojo tu, kwa sababu Mtume kakatazwa kwenye Qur'an kuharamisha chochoyte mabachp hakijaharamishwa na Allah.

Upo hapo ulipo?

a Yeye. Na akikutakia kheri, basi hapana awezaye kurudisha fadhila yake.Huifikisha kwa amtakaye katika waja wake, na Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.107


Qur'an 10:108. Sema: Enyi watu! Haki imekwisha kukujieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Basi anaye ongoka anaongoka kwa faida ya nafsi yake, na anaye potea anapotea kwa khasara ya nafsi yake. Na mimi si mwakilishi juu yenu.108

109. Na wewe fuata yanayo funuliwa kwako kwa wahyi. Na vumilia mpaka Mwenyezi Mungu ahukumu, na Yeye ndiye mbora wa mahakimu. 109
 
Ipo bana Hadith imesema hivyo hamna nchi itakayofanikiwa kwa kuwa na kiongozi mwanamke asa we bishana for the sake of kubisha wakati we mwenyewe unajua
Ni kweli upo sahihi na Mtume alisema hakuna watakaofanikiwa kama watamfanya mwanamke awe kiongozi wao
Ni hadith ya Bukhari hii
 
Hivi kweli kuna mazwazwa kabisa wanamuamini huyu sheikh? Uislam na mwanamke ni vitu viwili tofauti na ndiyo maana Muddy alikuwa anajibakia tu wake za watu at will because he had no respect for them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…