Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka kama mitano nyuma leo huyu ndio shehe sa mkoa wa dar usimlishe manenoNina wasiwasi huyu Sheikh anaweza kutekwa,Mafwele anamlia timing tu
Uislam una Madhehebu
Labda utufafanulie kwa Sababu Bakwata ina Viongozi Wengi tu Wanawake
Pili Tanzania siyo Nchi ya Kiislam hivyo Katiba waliotuachia Wamishioni ndio Mwongozo wa maisha ya watanzania
Serikali haindeshwi vyema na Rais mwanauBado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Si wapo mawaziri?Nawajua, pia hata ukristo ni kosa kutawaliwa na mwanamke, hata rais angekua ni mwanamke wa kikristo bado ingekua ni makosa. Ndio maana kanisa ninalosali hakuna mchungaji mwanamke wala kiongozi yeyote mwanamke. Tunatambua ya kua juu ya mwanamke ni lazima awepo mwanaume
We bibi acha kupotosha watu hayo maneno ni sahihi na ni hadithi ya mtume hioHuyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Yeye mwenyewe alishatoa msimamo wake kitambo tu,lakini imebidi kuzuga kuwa atagombe ili wale wenye uchu na kuwania kiti huko CCM wasiuane hadi ikifika April mwakani ndiyo litawekwa rasmi kama hiviYeye mwenyewe anasemaje kulingana na kauli ya kiongozi wake wa imani
Umetazama mbali sana MkuuYeye mwenyewe alishatoa msimamo wake kitambo tu,lakini imebidi kuzuga kuwa atagombe ili wale wenye uchu na kuwania kiti huko CCM wasiuane hadi ikifika April mwakani ndiyo litawekwa rasmi kama hivi
Kumbe ni yule Kibibi wa Huba ndiye analeta usumbufu humu 🙂🙂🙂Kibibi Leo kakutana nao 🐼
Kibibi wa Saigon Kariakoo 😄Kumbe ni yule Kibibi wa Huba ndiye analeta usumbufu humu 🙂🙂🙂
Msije mkamteka tu maana hamna dogo nyieKwanza kwenye Uislam hatuna mtukufu zaidi Mwenye Enzi Mungu pekee, hivyo hilo la Masheikh watukufu achana nalo.
Huyu Walid mtoto wa Bi Mwalimu kashikwa na nini? Kabla ya yote kaongea haya lini? Nahofia kusema zaidi.
Duh! Dah!Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Sasa ukiona huyu mliye naye, ndiyo iwe kila mwanamke yeyote? Kiongozi mwanaume akiwa mbovu walaumiwe wanaume wote?Tumejionea sisi wenyewe. Sio ya kuambiwa.
hayo ni maoni yako, mwongozo wa Kiislam ni Qur'an.We bibi acha kupotosha watu hayo maneno ni sahihi na ni hadithi ya mtume hio
Hapana, hakuna mafundisho ya Qur'an yaliyokataza mwanamke kufanya kazi yoyote il ya halali.Hayo ni mafundisho ya kiislamu
Kwa mfumo wa dini ya kiislamu yupo sahihi.Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Hakuna cha hadithi sahihi wala dhaifu, hayo ni maoni ya watu tu. Weka Qur'an inasemaje bila tafsiri uchwara.1. Hakuna sehemu nimesema maneno ya mtume au mwanawachuoni yapo juu ya quran .
2. Nimeandika kwa hoja na kukuwekea aya pamoja na hadith sahihi kabisa nahitaji na wewe ufanye hivyo kuthibitisha unachokisimamia.
3. Kingine tukiondoa hadith(maneno ya mtume) zinazoelezea namna ya kuswali (ibada ya swala /namaz) UNAWEZA KUTUELEZEA JINSI UTAKAVYOSWALI?
Wanafik wanashadidia huu ujinga hawajui kuwa huyo Sheikh Waleed kila sherehe za Dar yeye ndiye anamuombea dua mma Samia aendelee kuzidishiwa hekima ya kutuongoza.Wakati Samia anateuliwa kuwa mgombea mwenza ya RIP Magufuli hatukuona kwamba kuna siku anaweza kuaga dunia tukabakia nae akiwa ndio Rais wetu.
Watulie tu SSH aendelee kuongoza nchi kwa mujibu wa katiba.
Sijajua anaitwa Shehe nani huyu lakini kama ana point hiviBado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy