Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Huyo ndio Sheikh wetu wa Mkoa kwa sasa anaitwa SHEIKH WALID ELHAD KAWAMBWA.
Anapatikana Msikiti wa TIC MAGOMENI KICHANGANI(Magomeni mataa) ndio Imamu Mkuu.
 
Wewe usilete mambo ya ndoa kwenye uongozi wa nchi.
Wanawachuoni ni warithi wa mitume na wamezisherehesha hadith na kuzi backup na aya za quran kama una ushahidi kinyume na hapo unaotokana na vyanzo hivyo viwili (quran na sahihi hadith) unaweza pia kuviweka hapa utuelimishe navyo .

kwanza unatakiwa kujua hadith aliyoitoa huyo shaikh ni sahihi na mtume muhammad (amani iwe juu yake) aliitoa pindi alipoletewa habari na abubakar(radhi ziwe juu yake ) kwamba ufalme wa irani ( kwa muda ule sassanid empire) uliwachagua watoto wa kike wa mfalme khosrow II (aliyekuwa amekufa) .kwa majina azarmidokhti khosrow na borandukhti(boran) khosrow kuwa viongozi wa juu ( yaani queens) .

Hivyo kama aligusia kuhusu uongozi wa kiserikali unadhani ndani ndo kuna mabadiliko? Jibu ni hakuna , halafu hakuna ikhtlafu baina ya ma'ulama kuhusiana na na hii ishu mbona.

na kingine mtume muhammad huwa hatamki ispokuwa ni wahyi kutoka kwa Allah (subhanna huwataal) kama Allah (the almighty) alivyotuambia kwenye surat najm.

An-Najm 53:3

وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلْهَوَىٰٓ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Wala hatamki kwa matamanio.


An-Najm 53:4

إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْىٌ يُوحَىٰ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;

.
 
Wanawachuoni ni warithi wa mitume na wamezisherehesha hadith na kuzi backup na aya za quran kama una ushahidi kinyume na hapo unaotokana na vyanzo hivyo viwili (quran na sahihi hadith) unaweza pia kuviweka hapa utuelimishe navyo .

kwanza unatakiwa kujua hadith aliyoitoa huyo shaikh ni sahihi na mtume muhammad (amani iwe juu yake) aliitoa pindi alipoletewa habari na abubakar(radhi ziwe juu yake ) kwamba ufalme wa irani ( kwa muda ule sassanid empire) uliwachagua watoto wa kike wa mfalme khosrow II (aliyekuwa amekufa) .kwa majina azarmidokhti khosrow na borandukhti(boran) khosrow kuwa viongozi wa juu ( yaani queens) .

Tunavyojua Allah (the almighty) meshatuambia katika surat najm kwamba


An-Najm 53:3

وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلْهَوَىٰٓ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Wala hatamki kwa matamanio.


An-Najm 53:4

إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْىٌ يُوحَىٰ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;

.
Maneno ya mwanazuoni au ya mtume yeyote yule hayapo juu ya Qur’an.

Kumbuka hilo.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Chakaza ni Mungu gani huyo? Mbona una-abuse neno Mungu? Wewe na uinjinia wako unaamini hayo!!!!!!!!!!! Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Uislam ni nwema sana.

Ushoga umeruhusiwa kanisani, bisha.
Uislamu ni ushetani. Muhamad alioa kitoto kidogo akawa ana kibaka. Akawa analelewa na jimama , akawa jangili anaua na kupora mali, anateka. Uislamu una ushetani mwingi wa kuua wengine, umejaa damu, kisasi,chuki na roho mbaya. Mimi nliukataa nikawaambia hata maiti yangu haiwezi kuwa muislamu. Wakanitenga.

Muhamad alikuwa anavaa nguo za wakeze, anakojoa kama mwanamke sometimes, anapaka na wanja. Ni ushetani. Biblia inasema wafiraji hawata urithi ufalme wa mbinguni. Unasisitiza upendo (Kristo Yesu)

Nawaza Muhamad aje leo hii anakuja kuposa mtoto wako wa miaka 6 unampa? Au wewe umri huo upo tayari kuposwa?uje uolewe na libaba lizinzi,liasherati kama huyu jamaa.

Screenshot_2024-11-05-15-10-21-300_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
Huyu ni Sheikh mkuu wa Mkoa wa Dar
Ngoja niitafute clip aliongea lini maana nusu nusu hivi hatuwezi kujua aliulizwa lini?
Maana waoga wengi eti
 
Uislam ni nwema sana.

Ushoga umeruhusiwa kanisani, bisha.
Hakuna sehemu Biblia imeruhusu Ushoga. Anyway mwanamke kuwa kiongozi inakatwaza msikitini.bisha? Mwanaume kuvaa nguo za kike inaruhusiwa msikitini.bisha? Mwanaume kubaka kitoto cha miaka 9 inaruhusiwa.bisha? Mwanaume kumnyonya ulimi mwanaume inaruhusiwa.bisha?muhamad alifanya yote haya....bisha tuweke mistari hapa.
 
Back
Top Bottom