FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Porojo tu hizo.Kibibi Leo kakutana nao 🐼
| Aminata Touré | Senegal |
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo tu hizo.Kibibi Leo kakutana nao 🐼
| Aminata Touré | Senegal |
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Zanzibaaa penyewe bila kumungunya maneno kamwe Mwanamke hawezi kuwa Rais mpaka kiyama na ufufuo utakapofika .
Na pia hakuna Taifa la Kiislam lililotawali na Mwanamke .
Hata shehe mkuu anajua na pia Dr. Samia anajua lakini ni wanaume wa Tanganyika wameamua kumuazima kutokana na katiba na maslahi binafsi kuwa mbele lakini pia kuna tatizo kubwa la kimaadili Karibu duniani kote watu hawamjali wala kumuogopa Mwenyezi Mungu.
Kiu na tamaa ya Mwanamke wa kwanza kuumbwa Duniani bado inaendelea . Mwanamke alitamani kuwa kama Mungu ili amtawale Mwanaume na kila kitu. Baada ya kushindwa na kuiingiza dunia kwenye laana na dhambi alibaki na tamaa ya kuwa sawa na mwanaume ili tu asitawaliwe na mwanaume na pole pole amtawale Mwanaume sasa dunia imeingia kwenye laana ya wanaume kuwa dhaifu na mashoga na machawa .Dunia inarudishwa kwenye utumwa wa dhambi ya ushoga ulawiti na usagaji kwa sababu ya imani ya Mwanamke na mwanaume kuwa sawa.
If A=B and B=C then A=C
Sasa dunia imepigwa upofu wetu wanaingiza au kuingizwa popote penye uwazi iwe kwa mwanamme au mwanamke. Yeyote anaweza kuoa au kuolewa na yeyote kwa sababu tumesema wote ni sawa na kuwafundisha jamii nzima hivyo.
Shetani ameumbwa akiwa na tabia zote zinazofanana sana na mwanamke. Wanazuoni wanasema mwanamke ameumbwa kwa ladha ya sheitwani. Hata apewe nini kamwe hawezi kuridhika. Atapenda kutukuzwa na kusifiwa na ukimpinga utakua adui mkubwa sana ni hulka aliyoumbiwa. Atatamani kila kizuri kiwe chake na familia yake .
Bora pawe na Kijitabu kinachoitwa Katiba kinachoweza angalau kumdhibiti kidogo mwanamke kuweka pembeni wanawake wake.
Hakuna aya inayompa mwanamke mamlaka juu ya mwanaume kama ipo leta toa nukuu kwenye surat maryam nasubiri.Surat Maryam
Wewe kwenye wajinga hakika unakula kichwa! Ni upumbavu mara dufu huu kukana maandikoHuyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Wewe usilete mambo ya ndoa kwenye uongozi wa nchi.Hakuna aya inayompa mwanamke mamlaka juu ya mwanaume kama ipo leta toa nukuu kwenye surat maryam nasubiri.
Unaelewa tofauti ya Mwanamume na Mwanaume?Hakuna aya inayompa mwanamke mamlaka juu ya mwanaume kama ipo leta toa nukuu kwenye surat maryam nasubiri.
Mwanamume si neno rasmi kwenye kiswahiliUnaelewa tofauti ya Mwanamume na Mwanaume?
HayaMwanamume si neno rasmi kwenye kiswahili
Inaandikwa TAKBIR na inatamkwa kama nilivyoandika,Takhbiiiiiiiirrrrr!!!
Mimi sikubaliani naye moja kwa moja.Kuna wanawake wamewahi kuongoza nchi zao kwa mafanikio mkubwa.Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Yani mkuu hii kitu nilipata shida sana kwa mkewangu kumuondoa huu ujinga kuhusu baba yake,Maana mama yake alimjaza ujinga kiasi kwamba alikua anaona mama yake ndio kamsomesha.Ukitaka ujue tatizo la Mwanamke anzia kwenye familia .
Asiwe na kazi au ana kazi kisha Mwanaume awe na mali nyingi na pesa nyingi. Mwanaume awe anampa mkewe pesa zote za kuhudumia watoto na kila kitu . Taratibu mwanamke ataanza kuwaambia watoto kuwa yeye ndio anayetoa pesa na baba yao hafanyi chochote . Atawaaminisha watoto hivyo na kuwafarakanisha na baba yao . Mwishowe anajenga jamii ya watotowasiomjali baba yao na kuona kuwa wanaume ni watu wabaya sana.
Mimi sikubaliani naye moja kwa MBado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Kazi kwenu waisilamu, je, mtaasi maandiko ya Mtume kwa ajili ya kupokea dinari?
Hayo aliyoyasema Shehe di msneno yake bali ni maagizo toka kwa Mtume.
Kwenu Bakwata, je, nanyi mtamuasi Mtume kwa ajili ya kupokea dinari?
Kwanza kwenye Uislam hatuna mtukufu zaidi Mwenye Enzi Mungu pekee, hivyo hilo la Masheikh watukufu achana nalo.Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Vanga kwenye Mdumange.
Ushoga huo. Na Muddy alimnyonya ulimi mtoto wa dada yake. Ni ushoga tu huo hamna kitu kingine.
Huyu Shehe akiendelea kuongoza Bakwata itakuwa ajabu sana!Yeye mwenyewe anasemaje kulingana na kauli ya kiongozi wake wa imani