Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Unachanganyua mada, wewe Mtanzania US inakuhusu nini mwenzangu na mie?

Wenzako huko breakfast ni nusu kila steak na fresh orange juice wanasukumia kwa mkate wa ngano ile grade A.

yeyote wanaemchaguwa hayatuhusu huku kwetu. Au na wewe ushajijaza ujinga kuwa mmarekeani kwa kutazama picha zao?
Ahah bibi Foxy naona unateseka na kauli ya shekhe, lazima nyote mtoke mapangoni kama viongozi wa Hamas😁😁
 
Mi
Hivi kweli kuna mazwazwa kabisa wanamuamini huyu sheikh? Uislam na mwanamke ni vitu viwili tofauti na ndiyo maana Muddy alikuwa anajibakia tu wake za watu at will because he had no respect for them.
Mudi akitaka beba mke wa mtu anasema alipewq revelation aka Aya na Allah kimsiki Allah alikuwa msukule wa Mudi
 
Inawezekana alisema zamani. Lakini najiuliza pia, kama kweli alichosema ni sahihi au la
 
Wapo wendawazimu wengi tu wanasilimu.yaani hii dunia ya watu zaidi ya Bilion 3 wakosekane wa kusilimu? Wapo wangapi wanajiunga na dini za mashetani kila siku?

Muddy ni wakala wa ibilisi.
Nafahamu unachukia kwanini unaupenda Uislam.

Ukiona mtu kitu kimemkaa sana moyoni na mdomoni ujuwe anakipenda hata kama anakiponda.

Anayechukia kweli huwa hataki kukikumbuka kukiongelea wala kukifatilia anachokichukia.

Nafahamu unatafuta njia za kuuchukia Uislam lakini huzipati, kila unavyochimba ndiyo mapenzi yako kwa Uislam yaanazidi.

Kubali matokeo tu. Silim.
 
Ahah bibi Foxy naona unateseka na kauli ya shekhe, lazima nyote mtoke mapangoni kama viongozi wa Hamas😁😁
Hapana, siyo kauli ya Sheikh hiyo, huo mkanda utakuwa umechezewa. Hakuna Sheikh anayeweza kuipinga Qur'an. Kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa na Qur'an ni kuipinga Qur'an.

Sheikh Waleed hawezi kuwa ni mjinga kiasi hicho.
 
Sikatai quran imejitosheleza hilo halina shaka ndani yake.

Ila tu assume tunaondoa hadith na sasa tunakomaa na quran pekee unaweza kunipa aya zinazoelezea jinsi ya kuswali ? Procedures zote yaani naongelea tukianza na takbira tul ihram, mpaka salam.

halafu unipe aya pia inayosema tuswali swala tano iwe imejieleza bila ya ku backup na hadith yoyote ile , sijaujua kama unafahamu kuwa mtume muhammad (amani iwe juu yake) alienda kupokea swala kwenye arshi ya Allah (azzawajal) kwenye safari ya miiraj.
Kwani salat haijaelezwa na WQur'an? Anza kujibu hilo kwanza.

tena Bi matyam mamake yesu anaambiwa piga na rakaa na wenye kurukuu, unalijuwa hilo?
 
Hapa pana mtazamo tofauti kwa maulamaa. Wapo wanaosema nchi ikiongozwa na mfumo wa kiislamu mwanamke hafai kuongoza. Nchi ikiongozwa na mifumo iloofeli kama ya ulaya mwanamke sio kosa

Mifumo ya Ulaya imefeli? 😂😂😂😂

Ulaya na Middle East wapi kumeendelea? Nchi gani ya ME imefikia hata robo ya maendeleo ya kimifumo, miundombinu, watu, uchumi ya nchi kama Swiss, Norway au Luxembourg?
 
Hditrh inayokubalika ni ile inayoambatana na aya ya Qutr'an siyo ya kubuni tu.

Huwa sikisii.

Uislam hautazami nini kinaruhusiwa, tunatazama nini kinakatazwa, kama hakijakatazwa kwenye Qur'an hata Mtume hawezi kukikataza na ukiona kimekatazwa kwenye hadithi yoyote ile ujuwe hiyo ni porojo tu, kwa sababu Mtume kakatazwa kwenye Qur'an kuharamisha chochoyte mabachp hakijaharamishwa na Allah.

Upo hapo ulipo?

a Yeye. Na akikutakia kheri, basi hapana awezaye kurudisha fadhila yake.Huifikisha kwa amtakaye katika waja wake, na Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.107


Qur'an 10:108. Sema: Enyi watu! Haki imekwisha kukujieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Basi anaye ongoka anaongoka kwa faida ya nafsi yake, na anaye potea anapotea kwa khasara ya nafsi yake. Na mimi si mwakilishi juu yenu.108

109. Na wewe fuata yanayo funuliwa kwako kwa wahyi. Na vumilia mpaka Mwenyezi Mungu ahukumu, na Yeye ndiye mbora wa mahakimu. 109
Yooote uliyoyaandika nayafahamu kiundani tu ishu ni kwamba umesema hadith ni maneno ya watu tu na quran imejitosheleza , halafu hapa unasema tena hadith inayokubalika ni ile inayoambatana na aya quran sio ya kubuni MKUU UNASIMAMIA WAPI?

Kingine haujajibu swali langu hata moja naona unazidi kuongeza mambo mengine meengi ambayo yanahitaji maelezo tofauti , tafafhali hebu tumalize kwanza hoja moja kabla ya kuanzisha nyengine .

Kwa sasa naomba unijibu maswali yangu kwanza.
 
Yooote uliyoyaandika nayafahamu kiundani tu ishu ni kwamba umesema hadith ni maneno ya watu tu na quran imejitosheleza , halafu hapa unasema tena hadith inayokubalika ni ile inayoambatana na aya quran sio ya kubuni MKUU UNASIMAMIA WAPI?

Kingine haujajibu swali langu hata moja naona unazidi kuongeza mambo mengine meengi ambayo yanahitaji maelezo tofauti , tafafhali hebu tumalize kwanza hoja moja kabla ya kuanzisha nyengine .

Kwa sasa naomba unijibu maswali yangu kwanza.
Naaam. Hadith zipo za ndsani ya Qur'an ni maneno ya Allah na zipo za nje a Qur'an ni maneno ya watu tu.

Sasa sikuelewi unachpopinga au kukubali ni nini hapo?
Mimi nasema, hakuna kwenye Qur'an ilipokatazwa mwanamke kufanya kazi yoyote ile ya halali.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

Yupo sahihi
 
Kama nabii wa Allah kuoa mtoto wa miaka6 na kumlala akiwa na miaka9
ilo hali na tagtizo kabisa, kamuoa, akabaki kwao mpaka alipoanza kuingia mwezini, akachukuwa chuma kibichi kwa halali ya kuozwa na babake zake.

Tatizo nini hapo?

Hivi yule binti aliyeletewa zawadi Mtume Muhammad (saw) na mkubwa wa kanisa, anaitwa Maria al Kibti alikuwa na umri gani?
 
Mifumo ya Ulaya imefeli? 😂😂😂😂

Ulaya na Middle East wapi kumeendelea? Nchi gani ya ME imefikia hata robo ya maendeleo ya kimifumo, miundombinu, watu, uchumi ya nchi kama Swiss, Norway au Luxembourg?
Tatizo sio uchumi tu. Tatizo mila..ulaya kuna ushenzi mwengi sana
 
Back
Top Bottom