SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Ipo bana Hadith imesema hivyo hamna nchi itakayofanikiwa kwa kuwa na kiongozi mwanamke asa we bishana for the sake of kubisha wakati we mwenyewe unajuaHuyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Bakwata ni Taifa?Uislam una Madhehebu
Labda utufafanulie kwa Sababu Bakwata ina Viongozi Wengi tu Wanawake
Pili Tanzania siyo Nchi ya Kiislam hivyo Katiba waliotuachia Wamishioni ndio Mwongozo wa maisha ya watanzania
Lini Bakwata ilkuwa na Mufti mwanamke?Uislam una Madhehebu
Labda utufafanulie kwa Sababu Bakwata ina Viongozi Wengi tu Wanawake
Pili Tanzania siyo Nchi ya Kiislam hivyo Katiba waliotuachia Wamishioni ndio Mwongozo wa maisha ya watanzania
Hizzo pia ni porojo zako. Mwongozo wa Kiislam siyo porojo. Qur'an.Ipo bana Hadith imesema hivyo hamna nchi itakayofanikiwa kwa kuwa na kiongozi mwanamke asa we bishana for the sake of kubisha wakati we mwenyewe unajua
Anawewza kuzungumza cho chotde kwa imani yake lakini siyo Uislam. Uislam mwongozo wetu ni Qur'an siyo Sheikh.Siku hizi tunakimbilia kusema AI sheikh kazungumza kwa imani yake.
Mchochezi mleta mada sheikh kasema kama alivyonukuu hakusema aungwe mkono Mzee Chakaza!Mr Kipara, mchochezi nani kati ya shehe au hiyo Aya?
Niambie wapi kwenye hio Quran wamekuelekeza namna ya kusali?..Hizzo pia ni porojo zako. Mwongozo wa Kiislam siyo porojo. Qur'an.
Kuwa na heshima aisee......Wana JFs tuna heshima na busara zetu.huyo bibi ni mpumbavu sana
hakuna zaidi ya porojo tu ha[po.Ila wewe bibi ni mnafiki. Leo unakana hadith sahih kabisa kwa vile tu inakwenda kinyume na matakwa yako ya kidunia?
Hakuna AI hapo, ni nukuu sahih kabisa.
‘Never will succeed such a nation as makes a woman their ruler’ [al Bukhari].
The positions of leadership that the hadith refers to is those of the Imam (both of a nation and of the male/mixed congregational prayer), judges, and chief commanders of the Muslim army and those who carry out judicial punishments. However, even in regards the position of a judge, there were some scholars who permitted woman to be judges. [Fathul Bari, Tuhfa al Muhtaj, Fathul Mu’in, Ihya Ulum al Din].
Punguza kasi, hajasema kuhusu vyeo vya chini, amesema dini inakataza kuwa kiongozi wa juu kabisa kuwaongoza wanaume na ametaja nafasi zinazokubalika.Uislam una Madhehebu
Labda utufafanulie kwa Sababu Bakwata ina Viongozi Wengi tu Wanawake
Pili Tanzania siyo Nchi ya Kiislam hivyo Katiba waliotuachia Wamishioni ndio Mwongozo wa maisha ya watanzania
Anawewza kuzungumza cho chotde kwa imani yake lakini siyo Uislam. Uislam mwongozo wetu ni Qur'an siyo Sheikh.
Hapa hakuna ubishi wa hadithi wala Qur'an.Niambie wapi kwenye hio Quran wamekuelekeza namna ya kusali?..
Hadith ikiwaumbua mnakimbilia Quran
Aliwahi kuwepo khalifa mwanamke akaongoza umma wa Waislam?
Kiongozi wa Juu ni Mtume Muhammad SAW pekee Kwa ndugu zetu WaislamuPunguza kasi, hajasema kuhusu vyeo vya chini, amesema dini inakataza kuwa kiongozi wa juu kabisa kuwaongoza wanaume na ametaja nafasi zinazokubalika.
Tupo wengi sana, kupita mfano. Hata mama'ko ni Khalifa (t) au alikuamrisha weqe ufanye maovu uwache mema?Aliwahi kuwepo khalifa mwanamke akaongoza umma wa Waislam?
Kujuwa ni kwema sana.Ujuajin
Hadi unapiga mashehe
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792